Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,672
- 28,967
Mzuka wanajamvi!
Fahari ya Urusi katika black sea jinsi inavyojulikana iyo Meli manowari iliyopachikwa jina la Moskva au Moscow mji mkuu wa urusi ilivyolipuliwa na kuzamishwa katika operesheni ya aina yake kutoka kwa 'Defenders' makomandoo wa Ukraine waliotumia ujanja wa aina yake.
Ni hivi Makamanda wa Ukraine waliharibu meli kubwa ya kivita ya Moskva kwa kutumia ndege zisizo na rubani Drones za mturuki kuharibu mifumo yake ya ulinzi na kuruhusu makombora kutua na kuilipua.
Mfumo wa ulinzi wa Manowari iyo haukuweza kugundua roketi za Neptune zilizorushwa kwasababu zilikuwa busy zikifuatilia Drones hizo TB2 za mturuki.
Ni pigo kubwa kwa jeshi la wanamaji la Vladimir Putin, makombora mawili ya Neptune yalirushwa na kutua kwenye manowari iyo ya kisasa yenye 611ft Moskva, na kuitikisa kwa nguvu na kusababisha milipuko mbaya na moto.
Urusi wenyewe wanadai ilishika moto na wakati wakijaribu kuipeleka bandarini kulitokea dhoruba kali nakuifanya kuzama.
Inasadikika mamia ya wanamaji wamepoteza maisha. Ni pigo kubwa kwa kuputin na kuchanganyikiwa. Kwa sababu baada ya kipigo hicho wamezihamisha manowari zingine mbali zaidi Bahraini.
Senior JF international correspondent
Source:
Warship sunk by a pair of 1-ton missiles from Ukrainian commanders Warship sunk by a pair of 1-ton missiles from Ukrainian commanders
Fahari ya Urusi katika black sea jinsi inavyojulikana iyo Meli manowari iliyopachikwa jina la Moskva au Moscow mji mkuu wa urusi ilivyolipuliwa na kuzamishwa katika operesheni ya aina yake kutoka kwa 'Defenders' makomandoo wa Ukraine waliotumia ujanja wa aina yake.
Ni hivi Makamanda wa Ukraine waliharibu meli kubwa ya kivita ya Moskva kwa kutumia ndege zisizo na rubani Drones za mturuki kuharibu mifumo yake ya ulinzi na kuruhusu makombora kutua na kuilipua.
Mfumo wa ulinzi wa Manowari iyo haukuweza kugundua roketi za Neptune zilizorushwa kwasababu zilikuwa busy zikifuatilia Drones hizo TB2 za mturuki.
Ni pigo kubwa kwa jeshi la wanamaji la Vladimir Putin, makombora mawili ya Neptune yalirushwa na kutua kwenye manowari iyo ya kisasa yenye 611ft Moskva, na kuitikisa kwa nguvu na kusababisha milipuko mbaya na moto.
Urusi wenyewe wanadai ilishika moto na wakati wakijaribu kuipeleka bandarini kulitokea dhoruba kali nakuifanya kuzama.
Inasadikika mamia ya wanamaji wamepoteza maisha. Ni pigo kubwa kwa kuputin na kuchanganyikiwa. Kwa sababu baada ya kipigo hicho wamezihamisha manowari zingine mbali zaidi Bahraini.
Senior JF international correspondent
Source:
Warship sunk by a pair of 1-ton missiles from Ukrainian commanders Warship sunk by a pair of 1-ton missiles from Ukrainian commanders