Dada mmoja aliulizwa kuhusu usafi wanaume anaokutana nao kingono akasema wanaume wa siku hizi sio wasafi kabisa mtu anakulazimisha umnyonye wakati anajua kabisa sio msafi..Gono ni cha mtoto maana unaweza chemsha mizizi ya mnyonyo ukanywa kwa siku2 ukapona kuna kitu inaitwa pangusa(chlamydia) inakula pumbu so poa
Hilo Gono ni balaaUgonjwa unao umaliza uume ni upi? Kuna kaka angu aliwahi umwa huo, kichwa cha uboo kilikua kinalika, alipoona kinazidi ilibidi aweke wazi.
Duuuh. Ni upi huo?
Ni nesi wa zamu...Ulijuaje hayo?
Ushawahi pata gono lo???????
Never, sijawahi...Ushawahi pata gono lo???????
Hio picha yenyewe ulioweka hapo ishanivuruga hahah..Ni aibu kutembea na shuka maana nguo hazivaliki hiko ki fimbo chake hakitaki kuguswa na nguo la sivyo kinanata kuivuta hyo nguo mtiti...
Acheni umalaya
Nadhni ingekuwa jivi:😀😀Uume ungekuwa tu 1 to 3 then zifuatie nyinginezo
Kwan Gono la siku hizi limepungua makal au.......?2010 kuna jamaa yangu alipataga Gono alikua akikojoa analia kama mtoto mdogo huku amejishika na ukuta akawa anasema anakojoa viwembe😆