Itscharlie
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,795
- 15,777
Kubali kataa waafrica bado tupo utumwani unakumbuka hii
Huu ni Mtaa Mmoja wapo wa Jiji la Dar es Salaam, ndani ya hilo Gari alikuwepo Rais wa Taifa lenye nguvu duniani yani Barack Obama wa Marekani.Unakumbuka tukio gani kwenye ujio wake? nakumbuka barabara zilipigwa deki kabisa watu walipigwa na jua kwanzia asubuhi Hadi muda waliowaasiri.
Huu ni Mtaa Mmoja wapo wa Jiji la Dar es Salaam, ndani ya hilo Gari alikuwepo Rais wa Taifa lenye nguvu duniani yani Barack Obama wa Marekani.Unakumbuka tukio gani kwenye ujio wake? nakumbuka barabara zilipigwa deki kabisa watu walipigwa na jua kwanzia asubuhi Hadi muda waliowaasiri.