fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,724
- 2,627
Wadau wa Dar es Salaam mtakuwa mnakumbuka purukushani na shughuli mbalimbali katika maandalizi ya ujio rasmi wa aliyekua Rais wa Marekani Barack Obama na Mkewe Michelle.
Unakumbuka matukio gani yalifanywa na serikali yetu pendwa ya Tanzania ukiwa ndani ya Dar na viunga vyake?
Inasemekana DSM ilitulia na usafi uliimarishwa bila kusahau kuhamishwa vibaka na ombaomba pembezoni mwa Jiji.
Uzi tayari.
Unakumbuka matukio gani yalifanywa na serikali yetu pendwa ya Tanzania ukiwa ndani ya Dar na viunga vyake?
Inasemekana DSM ilitulia na usafi uliimarishwa bila kusahau kuhamishwa vibaka na ombaomba pembezoni mwa Jiji.
Uzi tayari.