Waxn jamani wax, miguuni, kwapani na ...........

Waxn jamani wax, miguuni, kwapani na ...........

Pretty P

Senior Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
121
Reaction score
20
Habari wana JF, nafurahi kuwa nanyi hapa Waxn waxn jaman wenzangu , unakuta mtu anaondoka anaenda saloon kufaya waxn, Ananyolewa nyele mikononi , miguuni na hata sehemu za siri. Mtu unavua nguo unaonesha sehemu zako za siri na zinashikwa shikwa eti ili unyolewe vizuri na kitaalamu zaidi. Kwanini tusinunue vifaa tufanye huduma hiyo nyumbani kwetu;mimi sijui. Nimeona nililete hapajamvini tulijadili hili suala la kufanyiwa waxn hasa shemu za siri jamani
 
Jaman hii kitu na mimi niliona kwa mama yangu mkubwa huko dah nilishangaa sana, ila alipojaribu kuacha akafanya mwenyewe aliungua vibaya nahisi kule salon ni wataalam zaidi....ilimchukua wiki mbili kupona
 
Huko saloon kuna wataalamu zaidi, na pia huduma nyingine pia zinapatikana endapo mtu atazidiwa, maana inasemekana mashoga na wasagaji pia ndio sehemu za kupatia wateja.
 
Hii dunia imejaa vioja...hatuheshimu tena na miili yetu wenyewe...kila mtu ataruhusiwaje kushika maeneo yetu nyeti? si itakuwa balaa???
 
duuuuuuuhh
waxxxx..habar yake banaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
unatoka na mr kwenda saloon kuwaxx..yeye anaingia chumba cha mdada we unaingia cha mkaka bas ahhh ful rrahaaa!!!!!!!!
 
ndio ndio maana wakaita utandawazi...lazima utande mapaja wazi.
 
ahhhh raha kule kwani ukiwa na jipu la mku..du utalikamulia home...tubadilike ili wenzetu nao wapate ajira..
 
Mimi rafiki yangu aliniambia niende nikatolewe vinyweleo vya miguuni na nikomnoni kweli kweli nilikataa kabisaa , nikamwambia starehe yangu ni vinyoleo vyangu ila nilichunguza nikakuta hali ya kule si shwari jamani. Tunahatarisha maisha
 
Jamani ni chuo gani kinachotoa shahada ya hiyo waxxn? mi nataka nikasomee niwe profesheno wa hiyo kitu, msaada wajameni pliiiiiiiiz...!
 
duuuuuuuhhwaxxxx..habar yake banaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!unatoka na mr kwenda saloon kuwaxx..yeye anaingia chumba cha mdada we unaingia cha mkaka bas ahhh ful rrahaaa!!!!!!!!
Hiyo nayo kali kwa hiyo mnatoka mmemaliza kila kitu?
 
aisee ni wapi hapo mi nitembelee? lazima tutumie huduma hizo, mbona huduma za simu tunashobokea mno?
 
Wanawake wa siku izi hata kukata kucha mpaka wamwite muuza urembo.
 
Habari wana JF, nafurahi kuwa nanyi hapa Waxn waxn jaman wenzangu , unakuta mtu anaondoka anaenda saloon kufaya waxn, Ananyolewa nyele mikononi , miguuni na hata sehemu za siri. Mtu unavua nguo unaonesha sehemu zako za siri na zinashikwa shikwa eti ili unyolewe vizuri na kitaalamu zaidi. Kwanini tusinunue vifaa tufanye huduma hiyo nyumbani kwetu;mimi sijui. Nimeona nililete hapajamvini tulijadili hili suala la kufanyiwa waxn hasa shemu za siri jamani
Dada naheshimu mawazo yako,lakini sina budi kukueleza kuwa dunia ya sashivi imebadilika sana! mbona hiyo waxing ni kitu cha kawaida tu!
Unajua hakuna kitu kizuri kama kupenda mwili wako" hasa wanawake" tena binafsi huwa nawashauri mjitahidi kwenda salon za kiprofeshino hata
mara 2 kwa mwezi......utengeneze nywele, pedicure,manicure,massage,facial,full body scrub na hiyo waxing. Asikuongopee mtu hakuna kitu kizuri kwa mwanamke kama kuupenda mwili wake.....na kila kimoja utakachokuja fanya salon ikna faida kwa mwili wako.
 
Wanawake wa siku izi hata kukata kucha mpaka wamwite muuza urembo.
Mkuu mwanamke hakati kucha! na kama shemeji yangu huko nyumbani anakata kucha basi mwambie astop haraka sana....kucha ni urembo mzuri sana kwa mtoto wa kike hasa pale zinapopakwa rangi au kuongezewa kwa kubandika "extension"au kuziweka Gel
 
Mimi rafiki yangu aliniambia niende nikatolewe vinyweleo vya miguuni na nikomnoni kweli kweli nilikataa kabisaa , nikamwambia starehe yangu ni vinyoleo vyangu ila nilichunguza nikakuta hali ya kule si shwari jamani. Tunahatarisha maisha
Ulikuta hali gani ya kuhatarisha maisha? hebu tueleze ili na sisi tujue ili tusiende huko?
 
ahhhh raha kule kwani ukiwa na jipu la mku..du utalikamulia home...tubadilike ili wenzetu nao wapate ajira..
Nakuhakikishia hakuna salon yoyote inayofanya hicho kitu ndani ya bongo....hilo ni tatizo lililoegemea kwenye ugonjwa na ni lazima uende hopitali
kumuona dr. Kwenye hizi salon zetu za bongo unaweza tolewa chunusi za sura yako,lakini si sehemu hiyo uliyoitaja
 
duuuuuuuhh
waxxxx..habar yake banaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
unatoka na mr kwenda saloon kuwaxx..yeye anaingia chumba cha mdada we unaingia cha mkaka bas ahhh ful rrahaaa!!!!!!!!
Dada Rose, huwezi kukuta hicho kitu kwenye salon zakiprofeshino na zinazo jiheshimu....labda hicho kitu waweza kuta salon za uswahilini na kwenye masalon ya kihunihuni. Je,umewahi kuwax? na ulikwenda salon ipi?
 
Back
Top Bottom