Wawekezaji Sekta ya Mifugo

Ottician

Senior Member
Jul 6, 2019
103
81
Ndugu zangu Habari za majukumu.

Katika pita pita zangu nimegundua kuna wawekeezaji wengi sana wakubwa (Wazawa na wageni) katika Sekta ya Mifugo (kuku, ng’ombe mbuzi n.k) lakini hatuwafahamu

Basi ningependa tuwaweke hapa kwa lengo la:

1. Kupata nafasi ya kujifunza kutoka kwao
2. Kununua mbegu bora kwao
3. Ku partner katika usambazaji wa bidhaa zao

Na faida nyingine nyingi.

Tuna mifano halisi ya ufugaji mkubwa na wa kisasa lazima tuutumie kujikwamua.

Karibuni
 
Mimi nafuga Mbuzi wa nyama, nilianza hawa wakawaida sasa naanza kuweka hawa Galla kwaajili ya Nyama. Nilianza wale wa Maziwa lakini niliwatoa kwasababu ya ufugaji wao unahitaji uangalifu mkubwa sana.

Pia nafuga na Bata, Bukini na Mallad, na Bata wa kawaida.
kuhusu wawekezaji wakubwa mnaweza waangalia Mbogo Ranches wao wamewekeza vyema katika ufugaji wa Ngombe na Mbuzi.
 
Mimi nafuga Mbuzi wa nyama, nilianza hawa wakawaida sasa naanza kuweka hawa Galla kwaajili ya Nyama. Nilianza wale wa Maziwa lakini niliwatoa kwasababu ya ufugaji wao unahitaji uangalifu mkubwa sana.
Pia nafuga na Bata, Bukini na Mallad, na Bata wa kawaida.
kuhusu wawekezaji wakubwa mnaweza waangalia Mbogo Ranches wao wamewekeza vyema katika ufugaji wa Ngombe na Mbuzi.

..mbogo ranches wako vizuri sana sana. nimeangalia mifugo yao kwa kweli they know what they are doing.

..mbuzi aina ya Galla unawanunua wapi? nimefanya utafiti nadhani ni mbegu nzuri inayoweza kuhimili mazingira ya Tanzania.
 
..mbogo ranches wako vizuri sana sana. nimeangalia mifugo yao kwa kweli they know what they are doing.

..mbuzi aina ya Galla unawanunua wapi? nimefanya utafiti nadhani ni mbegu nzuri inayoweza kuhimili mazingira ya Tanzania.

Soko lake likoje hapa nyumbani?
 
..mbogo ranches wako vizuri sana sana. nimeangalia mifugo yao kwa kweli they know what they are doing.

..mbuzi aina ya Galla unawanunua wapi? nimefanya utafiti nadhani ni mbegu nzuri inayoweza kuhimili mazingira ya Tanzania.
Galla goat is an indigenous to Northern Kenya. It is also known as the Boran or Somali goat. It's the milk queen of the Kenyan arid and semi arid areas. The female is about 60cm wide at the shoulders and weighs 45-55kgs.
 
Soko lake likoje hapa nyumbani?

..Galla kama alivyosema Use brain Heriel ni mbuzi ambao asili yao ni North Kenya na Somalia.

..hawa mbuzi huwa ni wakubwa kuliko mbuzi wetu wa kienyeji, pia nimesikia wanatabia ya kuzaa mapacha.

..sifa nyingine ya Galla ni kuhimili magonjwa na mazingira magumu ya malisho.

..kwa utafiti wangu nimewaona zaidi Kenya, lakini pia nimesikia kwa hapa nyumbani wanafugwa na jamii ya Wamassai.

..sifahamu soko lao likoje hapa nyumbani, lakini kutokana na sifa zao nashawishika kuamini kuwa ukiwa nao unaweza kuuza kwa bei nzuri.
 
Galla goat is an indigenous to Northern Kenya. It is also known as the Boran or Somali goat. It's the milk queen of the Kenyan arid and semi arid areas. The female is about 60cm wide at the shoulders and weighs 45-55kgs.

..but where can I buy them in Tanzania?

..I have researched on boer, kalahari, na savannah, and their price is too steep for me.
 
..but where can I buy them in Tanzania?

..I have researched on boer, kalahari, na savannah, and their price is too steep for me.
Kwa Tanzania sijajua , maana wengi wanafuga Boer (American breed
Ambao bei imechangamka Kama ulivyosema.
Ngoja tusubiri wadau tunaweza kujua Kama wanapatikana au la.
 
..Galla kama alivyosema Use brain Heriel ni mbuzi ambao asili yao ni North Kenya na Somalia.

..hawa mbuzi huwa ni wakubwa kuliko mbuzi wetu wa kienyeji, pia nimesikia wanatabia ya kuzaa mapacha.

..sifa nyingine ya Galla ni kuhimili magonjwa na mazingira magumu ya malisho.

..kwa utafiti wangu nimewaona zaidi Kenya, lakini pia nimesikia kwa hapa nyumbani wanafugwa na jamii ya Wamassai.

..sifahamu soko lao likoje hapa nyumbani, lakini kutokana na sifa zao nashawishika kuamini kuwa ukiwa nao unaweza kuuza kwa bei nzuri.

Nashukuru sana Kaka. Nimeuliza hivyo kuhusu soko kwa sababu mwaka jana kuna waarabu walikuja kutafuta mbuzi karibia na ile sikukuu ya kuchinja, hawakufanikiwa kupata mzigo waliohitaji.

Nikaona hili linaweza kuwa wazo zuri kupata vigezo vyao na kuwa na taarifa wapi hapa kwetu wanafugwa au unawezakupata ukawafuga ukiwa tayari na soko.

Nashukuru pia kwa maelezo mazuri ya Use brain Heriel
 
Galla/isiolo wana patikana kwa wingi Longido Arusha ukiwahitaji wapo wengi tu ila bei zao wananzia sh laki 3 mpka laki 2.5, last week kulikuwa na dume anauzwa laki 6, mwenzangu ktk ufugaji alimchukuwa, nachoweza kusema nikuwa ufugaji wa Mbuzi ni mrahisi lakini lazima uangalie eneo husika na mbegu unayo itaka kuifuga kwa matokea bora.
Kuhusu Boer Mbogo wanatusaidia pindi wanapo agiza huwa wanatuambia ktk group letu la wafuga Mbuzi na watu wana lipia wanapata pure kutoka South. ila wao shambani kwao wanauza Boer kuanzia F1 wanauza kwa Laki 360, na pure wanauza 2.8ml. Ukiagiza huwa wanaanzia USD 800 bado vibali na usafirishaji.
 
Kwa Tanzania sijajua , maana wengi wanafuga Boer (American breed
Ambao bei imechangamka Kama ulivyosema.
Ngoja tusubiri wadau tunaweza kujua Kama wanapatikana au la.
Boer wapo na wengi wanaagiza toka south Africa, shida nikama hiyo uliyo isema hapo juu bei yao iko juu sana sasa kwa sisi wafugaji wachanga inakuwa changamoto sana kuanza nao. Mimi ningelsahuri anae taka kufuga Mbuzi kwanza aanze na hawa wakawaida halafu atafute Dume la Galla/Isiolo hapo atapata matokeo mazuri, na pia ukipata Galla/Isiolo jike na Dume inapendeza zaidi, mradi ukikuwa nenda sas kwa Boer na Savanna maana hao kwa ujazo wa nyama ndio funga kazi.
 
Kwakweli niseme tu ukweli ufugaji wa Mbuzi ni njia bora sana ya kuweza kutuingizia kipato hasa ukifuga kwa njia stahiki, Mbuzi ni kitoewo kinacho hitajika kila mara. kwmfano mimi nakaa kibamba pale huwa tuna mnada wa kila jumamosi, jumapili, na jumatano nahapo Mbuzi na kondoo huchinjwa kila uchwao.
Nakuna taasisi ya serekali inaita TANCO kama sijakose ipo msoga imeanza taratibu juu ya usindikaji wa nyama ya Mbuzi.
Napia huwakuna warabu wanakuja kuchukuwa nyama ya mbuzi, sasa hapo jukumu kubwa la wafugaji ni kujua jinsi ya kutengeneza viwango bora vya nyama.
 
Kwakweli niseme tu ukweli ufugaji wa Mbuzi ni njia bora sana ya kuweza kutuingizia kipato hasa ukifuga kwa njia stahiki, Mbuzi ni kitoewo kinacho hitajika kila mara. kwmfano mimi nakaa kibamba pale huwa tuna mnada wa kila jumamosi, jumapili, na jumatano nahapo Mbuzi na kondoo huchinjwa kila uchwao.
Nakuna taasisi ya serekali inaita TANCO kama sijakose ipo msoga imeanza taratibu juu ya usindikaji wa nyama ya Mbuzi.
Napia huwakuna warabu wanakuja kuchukuwa nyama ya mbuzi, sasa hapo jukumu kubwa la wafugaji ni kujua jinsi ya kutengeneza viwango bora vya nyama.

..umewahi kuwasikia mbuzi wenye asili ya Uganda wanaitwa mubende?

..unafahamu kama kuna wafugaji hapa Tanzania wanawafuga mbuzi hao?

..Je, Mbongo ranches wanauza mbuzi aina ya savanna wanaotoka South Africa?

NB:
..pia kuna jamaa ameniambia eti Boer ni wazembe ktk kupanda. eti ukiweka beberu la boer na kienyeji, unaweza kujikuta una watoto wengi wamezaliwa na mbuzi wa kienyeji. pia anasema kwamba boer anazidiwa na savanna kwenye kuchangamkia mbuzi jike.🤣
 
..umewahi kuwasikia mbuzi wenye asili ya Uganda wanaitwa mubende?

..unafahamu kama kuna wafugaji hapa Tanzania wanawafuga mbuzi hao?

..Je, Mbongo ranches wanauza mbuzi aina ya savanna wanaotoka South Africa?

NB:
..pia kuna jamaa ameniambia eti Boer ni wazembe ktk kupanda. eti ukiweka beberu la boer na kienyeji, unaweza kujikuta una watoto wengi wamezaliwa na mbuzi wa kienyeji. pia anasema kwamba boer anazidiwa na savanna kwenye kuchangamkia mbuzi jike.🤣
Mubende niliwahi kuwasikia na kuwaona wakati nakaa Uganda.
Mbogo Ranches wanauza Boer puer na Boer F1. Savanna sijawahi ulizia ila wanao na wote ni input toka South Africa na hata ukitaka wakusaidie kuagiza wanakuagizia nakusafirisha, na mwezi huu wana mzigo wanaingiza tena.
Kwa maelezo ya walio fuga Boer wanasema ni kweli ni mvivu sana kupanda yeye anajua kupigana zaidi wanasema wananguvu hiyo zaidi.
Kweli wengi wanasema hivyo lakini sina uhakika nayo sana kwa sababu sijawafuga.
 
..umewahi kuwasikia mbuzi wenye asili ya Uganda wanaitwa mubende?

..unafahamu kama kuna wafugaji hapa Tanzania wanawafuga mbuzi hao?

..Je, Mbongo ranches wanauza mbuzi aina ya savanna wanaotoka South Africa?

NB:
..pia kuna jamaa ameniambia eti Boer ni wazembe ktk kupanda. eti ukiweka beberu la boer na kienyeji, unaweza kujikuta una watoto wengi wamezaliwa na mbuzi wa kienyeji. pia anasema kwamba boer anazidiwa na savanna kwenye kuchangamkia mbuzi jike.🤣
Kuna mzigi unaitwa Galla huyo ni balaa kwa kupanda aka Super charger 🤣 🤣
 
Mimi nafuga Mbuzi wa nyama, nilianza hawa wakawaida sasa naanza kuweka hawa Galla kwaajili ya Nyama. Nilianza wale wa Maziwa lakini niliwatoa kwasababu ya ufugaji wao unahitaji uangalifu mkubwa sana.
Pia nafuga na Bata, Bukini na Mallad, na Bata wa kawaida.
kuhusu wawekezaji wakubwa mnaweza waangalia Mbogo Ranches wao wamewekeza vyema katika ufugaji wa Ngombe na Mbuzi.
mkuu kumbe kuna mbuzi wa nyama, nimepambana kutafuta juu ya ufugaji wa mbuzi wa nyama lkn sijafanikiwa. naomba kama una taarifa zaidi kuhusu hao "galla" ushare zaidi ikiwezekana ranch au mahali wanapopatikana na ABC zake jinsi ya kuwafuga mpaka kupata matokeo mazuri. ahsante
 
mkuu kumbe kuna mbuzi wa nyama, nimepambana kutafuta juu ya ufugaji wa mbuzi wa nyama lkn sijafanikiwa. naomba kama una taarifa zaidi kuhusu hao "galla" ushare zaidi ikiwezekana ranch au mahali wanapopatikana na ABC zake jinsi ya kuwafuga mpaka kupata matokeo mazuri. ahsante
Kuhusu Galla nilishaelezea wana patikana umasaini na bei zao ni kuanzia sh laki 5 mpaka laki 3. Madume ndio wanauzwa bei kubwa sana majike wanazia laki 3 mpaka 2.5.
katika wafugaje wenzangu kunaambae yupo Arusha ndio tumemfanya kama Agent wetu huwa anakwenda huko Longido na kutununulia na kuwasafirisha kuja ulipo.
Galla ni Mbuzi ambae ni mvumilivu sana kwa magonjwa na hali ya ukame maana asili yao ni hiyo kutokea Somalia, ukuwaji wao ni waharaka sana na hasa akija ukanda wetu wenye malisho mazuri ukuwaji wake ni wa haraka na anajaa nyama vyema, uwezo wao wa kuzaa ni mkubwa na usio na mushkeri kama Mbuzi wengine hasa hawa mbegu za kigeni, na utakapo mcross na Mbuzihawa wa kienyeji amahakika unapata matokeo mazuri sana. Zaidi karibu Kibamba tutasaidiana kujifunza zaidi.
 
Kuhusu Galla nilishaelezea wana patikana umasaini na bei zao ni kuanzia sh laki 5 mpaka laki 3. Madume ndio wanauzwa bei kubwa sana majike wanazia laki 3 mpaka 2.5.
katika wafugaje wenzangu kunaambae yupo Arusha ndio tumemfanya kama Agent wetu huwa anakwenda huko Longido na kutununulia na kuwasafirisha kuja ulipo.
Galla ni Mbuzi ambae ni mvumilivu sana kwa magonjwa na hali ya ukame maana asili yao ni hiyo kutokea Somalia, ukuwaji wao ni waharaka sana na hasa akija ukanda wetu wenye malisho mazuri ukuwaji wake ni wa haraka na anajaa nyama vyema, uwezo wao wa kuzaa ni mkubwa na usio na mushkeri kama Mbuzi wengine hasa hawa mbegu za kigeni, na utakapo mcross na Mbuzihawa wa kienyeji amahakika unapata matokeo mazuri sana. Zaidi karibu Kibamba tutasaidiana kujifunza zaidi.
ahsante, na mimi niko arusha naomba kujua shamba lako liko wapi ili ikifika muda wa kuwanunua nipitie kwako kupata mbegu halisi. unaweza kunipm mkuu
 
ahsante, na mimi niko arusha naomba kujua shamba lako liko wapi ili ikifika muda wa kuwanunua nipitie kwako kupata mbegu halisi. unaweza kunipm mkuu
Mimi nipo Dar na nafugia huku ila kuna mwenzangu shamba lake lipo Handeni na anakaa arusha nitakutumia mawasiliano yake pm atakusaidia.
Hata mimi nimeweka oda ya Mbuzi 3 na nimewalipia leo nafikiri jumapili wata teremka Dar.
 
Back
Top Bottom