Wavutaji wote hapa

mzee inaonekana unakul mema ya nchi
 
WAGWAN RASTA,maninja wote ambao tunatumia ile kitu asili mmea,tukutane hapa.tupeane michapo ya weed,habari za weed,utani wa weed na vitu ka hizo u know.hakuna kitu kama weed na hapa tunailegalise....ngonga ,washa vuta.roll in peace rasta.....
Acheni kuvuta bangi vijana .
 
Acha bangi kijana.
 
Nani kashakula GOMBA humu bila kusizi nimpe manyota......
Huu ulikuwa mchezo kuwatest vichwa vibovu....tunanyonga Gomba alaf tunapasiana mojamoja wale wenye vichwa vibovu na newcomers lazima wasizi
Gomba kwangu haina stimu yoyote
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…