Vipi na sisi tunaobwia
ugoro ni poa au tunawakera pia? Mbona nyie mnazini halafu mnaona poa tu?
Pambaf zenu.
Ninyi nikutema mate ovyo mnakera sana
Vipi na sisi tunaobwia
ugoro ni poa au tunawakera pia? Mbona nyie mnazini halafu mnaona poa tu?
Pambaf zenu.
Ant-cigarrete nanyie acheni uzinzi ukimwi upo na unauwa,imagine una marliboro light beach na upepo ule raha ilioje,dah: moral dont speak shit kwa kitu usichokijua
Raha yako basi usikere wenzio. Tunalokereka nalo ni lile la kuvuta cigarette hadharani na kuudhi wengine
wavuta sigara wote ni matahira washaambiwa ina madhara na bado wanavuta by Nay
Asilimia 98.9 ya wavuta sigara ni matahira.
Baba yako naye anavuta shwaini wewe
Ili ujue mvuta sigara hana ustaarabu sikia mambo yake yalivyo yakijuha
1.Akinunua sigara atataka na kiberiti kwa muuza sigara
2.Akipata kiberiti atauwasha mwenge wake hapohapo dukani bila kujali kuna watu wengine
3.Kumuomba mtu sigara au kiberiti hata kama hamjui
4.Kumuomba mtu kiberiti au sigara bila hata salamu
5.Kuomba sigar ya mdomoni bila kujali anaweza kuambukizwa maradhi.
6.Kutupa kishungi cha sigara bila kukizima tena bila kujali wapi anatupia.
Hizi ndizo tabia za mvutaji sigara.
Napenda kimoshi cha cigarrete tena mupenzi akinipa busu huku katoka kuvuta mie burudani.
we nawe kweli ni hamnazo