Hii tabia ya uvutaji wa sigara ovyo ikomeshwe

dexterous

JF-Expert Member
Feb 26, 2014
2,038
3,124
Wasalam

Iko hivi kuna tabia/mazoea kwa wavutaji wa sigara wanaovuta sigara kiholela barabarani na sehemu zenye mikusanyiko ya watu bila kujali afya za watu wengine

Embu fikiria uko njiani unatembea mbele yako kuna mtu anavuta sigara na ule moshi anaoupuliza wote unawarudia mliokuwa nyuma yake mtake msitake mtavuta tu sasa huu sio ustaraabu kwa kweli tambua kuna watoto wadogo wanaathirika pia.

Kama kwenye ma bar na sehemu nyingine za starehe wameweza kuweka smoking zone vipi huku nje tunashindwa nini.

Naiomba serikali kupitia waziri wa afya wekeni utaratibu na pahala kwa hawa ndugu zetu wanaovuta sigara wavute sigara zao bila kuathiri watu wengine, ikiwezekana waweke adhabu kali ili kuthibiti tabia hiyo.

Na kama wewe unajijua ni mvutaji wa sigara ni vyema ukatafuta pahala ukavuta ukishamaliza endelea na safari yako kuliko kuhatarisha afya za wengine.
 
Mkuu tuanzie na wewe kwanza, ulichukua hatua gani kumdhibiti jamaa asiwapulizie huo moshi wa Fegi? Jua kwamba afya yako inaanza na wewe. Mimi hao jamaa huwa siwakopeshi kabisa wakivuta fegi na moshi ukanifikia, huwa tunamalizana fasta lakini kwa kuwaeleza kiungwana na wao kunielewa kiungwana.
 
Wasalam
Iko hivi kuna tabia/mazoea kwa wavutaji wa sigara wanaovuta sigara kiholela barabarani na sehemu zenye mikusanyiko ya watu bila kujali afya za watu wengine, Embu fikiria uko njiani unatembea mbele yako kuna mtu anavuta sigara na ule moshi anaoupuliza wote unawarudia mliokuwa nyuma yake mtake msitake mtavuta tu sasa huu sio ustaraabu kwa kweli tambua kuna watoto wadogo wanaathirika pia.
Kama kwenye ma bar na sehemu nyingine za starehe wameweza kuweka smoking zone vipi huku nje tunashindwa nini.
Naiomba serikali kupitia waziri wa afya wekeni utaratibu na pahala kwa hawa ndugu zetu wanaovuta sigara wavute sigara zao bila kuathiri watu wengine, ikiwezekana waweke adhabu kali ili kuthibiti tabia hiyo.
Na kama wewe unajijua ni mvutaji wa sigara ni vyema ukatafuta pahala ukavuta ukishamaliza endelea na safari yako kuliko kuhatarisha afya za wengine.
Hizo bar zenyewe zenye smoking zone ziko ngapi?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tuanzie na wewe kwanza, ulichukua hatua gani kumdhibiti jamaa asiwapulizie huo moshi wa Fegi? Jua kwamba afya yako inaanza na wewe. Mimi hao jamaa huwa siwakopeshi kabisa wakivuta fegi na moshi ukanifikia, huwa tunamalizana fasta lakini kwa kuwaeleza kiungwana na wao kunielewa kiungwana.
Mkuu uki chunguza kwa siku utapishana nao si chini ya 20 Sasa niambie utawaambia wangap kila siku ndo mana nimeleta huku atleast ujumbe ufike kwa wengi
 
Wasalam

Iko hivi kuna tabia/mazoea kwa wavutaji wa sigara wanaovuta sigara kiholela barabarani na sehemu zenye mikusanyiko ya watu bila kujali afya za watu wengine

Embu fikiria uko njiani unatembea mbele yako kuna mtu anavuta sigara na ule moshi anaoupuliza wote unawarudia mliokuwa nyuma yake mtake msitake mtavuta tu sasa huu sio ustaraabu kwa kweli tambua kuna watoto wadogo wanaathirika pia.

Kama kwenye ma bar na sehemu nyingine za starehe wameweza kuweka smoking zone vipi huku nje tunashindwa nini.

Naiomba serikali kupitia waziri wa afya wekeni utaratibu na pahala kwa hawa ndugu zetu wanaovuta sigara wavute sigara zao bila kuathiri watu wengine, ikiwezekana waweke adhabu kali ili kuthibiti tabia hiyo.

Na kama wewe unajijua ni mvutaji wa sigara ni vyema ukatafuta pahala ukavuta ukishamaliza endelea na safari yako kuliko kuhatarisha afya za wengine.
Hii kiafya ni hatari kwakweli kama sio kushangaza basi inasikitisha yaani wizara husika hazijishughulishi kabisa...

Viongozi wengi wa hii nchi wako katika comfort zone ndio maana karibia kila kitu wananchi tunawashtua ndio wao wanakurupuka na kukitekeleza.

Kama wanavyoipromote chanjo basi na huu uvutaji hovyo wa sigara wauvalie njuga la sivyo upambanaji wa UVIKO19 utakua hauna maana kama tunaacha magonjwa kama kifua kikuu.

Hili tatizo kwa viongozi hawawezi kuliona kilahisi, ila sisi wazee wa informal sector/sekta zisizorasmi tunakeleka na kuteseka sana maeneo tunayofanyia kazi.

Tamko la serikali lina nguvu kwahiyo wafanye jambo hapa.

hata mabago yarudishe kwenye makutano ya umma
 
Hii kiafya ni hatari kwakweli kama sio kushangaza basi inasikitisha yaani wizara husika hazijishughulishi kabisa...

Viongozi wengi wa hii nchi wako katika comfort zone ndio maana karibia kila kitu wananchi tunawashtua ndio wao wanakurupuka na kukitekeleza.

Kama wanavyoipromote chanjo basi na huu uvutaji hovyo wa sigara wauvalie njuga la sivyo upambanaji wa UVIKO19 utakua hauna maana kama tunaacha magonjwa kama kifua kikuu.

Hili tatizo kwa viongozi hawawezi kuliona kilahisi, ila sisi wazee wa informal sector/sekta zisizorasmi tunakeleka na kuteseka sana maeneo tunayofanyia kazi.

Tamko la serikali lina nguvu kwahiyo wafanye jambo hapa.

hata mabago yarudishe kwenye makutano ya umma
Ni hatari ndugu ila watu wengi hawajui tu; leo ukipita barabaran kwa siku lazima upishane na watu si chini ya 10 wanaovuta sigara njiani. Hata huko ulaya tunawaona wamestarabika huwezi kukuta kuna tabia ya namna hii. Kuna vitu Serikali ni lazima iwajibike hivi vitu vikiachiwa nakuendelea hakika athari zake zitakuwa ni kubwa zaidi ya sasa hivi.
 
Wasalam

Iko hivi kuna tabia/mazoea kwa wavutaji wa sigara wanaovuta sigara kiholela barabarani na sehemu zenye mikusanyiko ya watu bila kujali afya za watu wengine

Embu fikiria uko njiani unatembea mbele yako kuna mtu anavuta sigara na ule moshi anaoupuliza wote unawarudia mliokuwa nyuma yake mtake msitake mtavuta tu sasa huu sio ustaraabu kwa kweli tambua kuna watoto wadogo wanaathirika pia.

Kama kwenye ma bar na sehemu nyingine za starehe wameweza kuweka smoking zone vipi huku nje tunashindwa nini.

Naiomba serikali kupitia waziri wa afya wekeni utaratibu na pahala kwa hawa ndugu zetu wanaovuta sigara wavute sigara zao bila kuathiri watu wengine, ikiwezekana waweke adhabu kali ili kuthibiti tabia hiyo.

Na kama wewe unajijua ni mvutaji wa sigara ni vyema ukatafuta pahala ukavuta ukishamaliza endelea na safari yako kuliko kuhatarisha afya za wengine.
Dah....mkuu ishu ya uvutaji fegi wengi huwa wanajichanganya...aidha kwa makusudi au kutokuwa na elimu ya kutosha. Moshi wa sigara una simu Kila mmoja anaelewa hilo....iwe kwa mvutaji mwenyewe pamoja na yule anayempumulia....Ila wengi huwalaani wapiga fegi bila kujua hasa wanapigania nini....hawajui hata athari za Moshi wa sigara zikoje..... zinamuathiri mwingine kwa njia ipi...kwa kiasi gani...hufikia Hadi watu wazito hufikia kutoa matamshi ya kutokuvuta fegi hadharani wanashindwa hata kutofautisha hadharani na sehemu za umma.... Hivi Kama mzee Ushimen kapumzika barazani kwake anakula embasi take kuna tatizo gani? ....Kinachotakiwa Ni kuangalia vitu kwa picha kubwa....siyo kukimbilia vitu vidogovidogo visivyo na tija kwa ajili ya kutafuta Kiki.
Kikubwa hapa ni kujua hewa inachafuka... Je Ni Moshi wa fegi tu unachafua? Kwa kiasi gani? Vipi kuhusu magari yetu haya yaliyopigwa marufuku ulaya na kwinginepo? Kwa taarifa yako hewa ya binzini inayopatikana kwenye Moshi wa gari Ni hatari kuliko Ile ya kwenye fegi. Tunahitaji sera ya kuzuia uharibufu wa hewa na siyo kuwakimbilia na kuwanyanyasa wavuta fegi. Ni sawa na kulala ndani chandarua huku ukipiga peku 🤣🤣🤣🤭
 
Hii tabia binafsi huwa inaniuma sana sana!
Serikali inajua madhara ya sigara lkn imekaa kimya kupiga marufuku uvutaji sigara hovyo, sijui inafikiria nini!
 
Nimeona tabia hii maranyingi Arusha

wazungu na waindi wamekuwa na tabia hii sana tena wanavuta huku wana endesha magari

Tena hufanya hivi mbele ya matrafik
 
Dah....mkuu ishu ya uvutaji fegi wengi huwa wanajichanganya...aidha kwa makusudi au kutokuwa na elimu ya kutosha. Moshi wa sigara una simu Kila mmoja anaelewa hilo....iwe kwa mvutaji mwenyewe pamoja na yule anayempumulia....Ila wengi huwalaani wapiga fegi bila kujua hasa wanapigania nini....hawajui hata athari za Moshi wa sigara zikoje..... zinamuathiri mwingine kwa njia ipi...kwa kiasi gani...hufikia Hadi watu wazito hufikia kutoa matamshi ya kutokuvuta fegi hadharani wanashindwa hata kutofautisha hadharani na sehemu za umma.... Hivi Kama mzee Ushimen kapumzika barazani kwake anakula embasi take kuna tatizo gani? ....Kinachotakiwa Ni kuangalia vitu kwa picha kubwa....siyo kukimbilia vitu vidogovidogo visivyo na tija kwa ajili ya kutafuta Kiki.
Kikubwa hapa ni kujua hewa inachafuka... Je Ni Moshi wa fegi tu unachafua? Kwa kiasi gani? Vipi kuhusu magari yetu haya yaliyopigwa marufuku ulaya na kwinginepo? Kwa taarifa yako hewa ya binzini inayopatikana kwenye Moshi wa gari Ni hatari kuliko Ile ya kwenye fegi. Tunahitaji sera ya kuzuia uharibufu wa hewa na siyo kuwakimbilia na kuwanyanyasa wavuta fegi. Ni sawa na kulala ndani chandarua huku ukipiga peku 🤣🤣🤣🤭
Hatari ni Hatari tu hata iwe ndogo au kubwa maana matokeo ya vyote hivyo ni mabaya vinatofautiana mda tu. Ukisema wavuta sigara wanaonewa na wenye magari nao watasema wanaonewa mbona wenye viwanda nao wanachafua mazingira. Hivyo ni vizuri kuelezana hajalishi swala ni dogo au ni kubwa kama linaleta athar ni vizuri kulizungumzia.
Pia Suala la sera Kama hujagundua Tz tuna sera nzuri ila shughuli ni utekelezaji wake hapo ndo tunakwama sera nyingi zinaishia kwenye vitabu tu.
 
Wasalam

Iko hivi kuna tabia/mazoea kwa wavutaji wa sigara wanaovuta sigara kiholela barabarani na sehemu zenye mikusanyiko ya watu bila kujali afya za watu wengine

Embu fikiria uko njiani unatembea mbele yako kuna mtu anavuta sigara na ule moshi anaoupuliza wote unawarudia mliokuwa nyuma yake mtake msitake mtavuta tu sasa huu sio ustaraabu kwa kweli tambua kuna watoto wadogo wanaathirika pia.

Kama kwenye ma bar na sehemu nyingine za starehe wameweza kuweka smoking zone vipi huku nje tunashindwa nini.

Naiomba serikali kupitia waziri wa afya wekeni utaratibu na pahala kwa hawa ndugu zetu wanaovuta sigara wavute sigara zao bila kuathiri watu wengine, ikiwezekana waweke adhabu kali ili kuthibiti tabia hiyo.

Na kama wewe unajijua ni mvutaji wa sigara ni vyema ukatafuta pahala ukavuta ukishamaliza endelea na safari yako kuliko kuhatarisha afya za wengine.
Na wewe zitakuwa hazikutoshi! Kama umekutana na hiyo kadhia unatakiwa kuchepuka njia au kurudi nyuma ulikotoka ili ujiokoe na huo Moshi! Kulazimisha kuongozana naye umeyataka hivyo vumilia na ikikupendeza gongoe arifu mwende sawa! Tuache tuvute Kwa raha zenu Kama ninyi mnavyojisikia raha mnapokunywa al- kasus!
 
Back
Top Bottom