Wavutaji wa sigara ni shida!

Wavutaji wa sigara ni shida!

jaffari odhiambo

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
526
Reaction score
13
Jamani hawa wavutaji wa sigara mbona wanashindwa kuwa wastaarabu? Mvutaji wa sigara anapovuta haangalii hata mazingira aliopo maana kuna wengine hawatumii sigara lakini wao hata katikati ya watu wanavuta tu bila kujali. Kwa kweli hawa nawachukia sana kwa kitendo wanachokifanya bila kujali afya za wengine. Smokers tend 2 think that every1
like the smell of that ciggarete
they smoke,pliz we pitty u while u
smoke!
 
Naona umeanza kuwa chokonoa wavuta sigara.
Kiukweli hata mie sipendi mie nikiipata tu ile harufu kichwa kinaanza kuuma.
Kuna jamaa yangu yeye akinusa tu damu zinaanza kumtoka puani. Kiukweli ni shida.
Kuna mvuta sigara mmoja nimewahi kumwambia jinsi harufu ya sigara inavyokera alinijibu ovyo siwezi kusahau. Aliniambia kama inakukera na ile ya chooni inakufurahisha sio?
 
Last edited by a moderator:
Haswa hawa watu ni shidaaa maana kwanza wana dharau kwa sababu ukimwambia mvuta sigara kuacha anakuona kama unamuonea. Unakuta hata dereva wa gari anavuta akiwa ndani ya gari halafu anajidai kuweka mkono kwa nje ilhali anaendelea kuvuta. Ukweli usiopingika ni kwamba wanakera na bora sheria ipitishwe ya kutovuta sigara hadharani kama Uganda. Tatizo hii nchi serikali haina msimamo wa msingi katika mambo yanayokera watu. Sigara ina maandishi yasemayo "UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO" Lakini bado wanavuta tu. I think that their thinking capacity is low.
 
Wanakera sana hawa jamaa mda wote midomo yao inanuka tu sigara hadi kero.
 
We nyamaza unaijuwa sgara au unapiga kelele tu
 
na unakuta mtu anavuta then hapa anaunga tela kuponda. hata kama upo huku badilika
 
hujui raha ya sigara wewe! raha ya ngoma uingie ucheze!
 
Jamani hawa wavutaji wa sigara mbona wanashindwa kuwa wastaarabu? Mvutaji wa sigara anapovuta haangalii hata mazingira aliopo maana kuna wengine hawatumii sigara lakini wao hata katikati ya watu wanavuta tu bila kujali. Kwa kweli hawa nawachukia sana kwa kitendo wanachokifanya bila kujali afya za wengine. Smokers tend 2 think that every1
like the smell of that ciggarete
they smoke,pliz we pitty u while u
smoke!

acha unyanyapaa, unajua sirikali inakusanya kodi kiasi gani kupitia sigara?
 
hujui raha ya sigara wewe! raha ya ngoma uingie ucheze!

Sio ngoma ya kuvuta sigara. Yani sijavuta sigara miaka yote hio, leo unambie niivute ili nione raha yake?
Inahusu...

Mnatukera bwana, ukweli muambiwe. Midude haina hata faida na maudhi juu
 
Sio ngoma ya kuvuta sigara. Yani sijavuta sigara miaka yote hio, leo unambie niivute ili nione raha yake?
Inahusu...

Mnatukera bwana, ukweli muambiwe. Midude haina hata faida na maudhi juu

sasa serikali yako haina usemi kwaiyo vumilia tu!
 
Kwa kweli hawa wavutaji wa sigara wangejua wanavyonikera wangeacha sigara leo hii maana nawachukia sana. Majibu yao ni ya hovyo halafu wanavuta bila kujali kuwa kuna ambao wanakerwa na harufu hiyo ya sigara. I really hate these people.
 
Kwa kweli hawa wavutaji wa sigara wangejua wanavyonikera wangeacha sigara leo hii maana nawachukia sana. Majibu yao ni ya hovyo halafu wanavuta bila kujali kuwa kuna ambao wanakerwa na harufu hiyo ya sigara. I really hate these people.

Kama huyo chaUkucha apo juu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom