Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Wavuta bangi wawili waliliona embe juu ya mti wakaamua kulipopoa.Walirusha mawe mengi bila kufanikiwa kuliangusha lile embe.Mvuta bangi mmoja akasema;isije ikawa embe lenyewe bichi,ngoja nipande juu nikalicheki.Baada ya dakika 5,yule mvuta bangi akashuka chini,akamwambia mwenzie;nimelibonyeza limeiva vizuri kabisa,tuendelee kulipopoa mwana wane!