Wavuta bangi na embe!

Hahahahah.... Jamani Bangi noma! wengine huwa wanajiita president.
 
Inachekesha eeeh! kumbe bangi inaleta maarifa au hujagundua, lengo ililkuwa ni kupopoa embe na sio kuchuma na ni vizuri kujiridhisha kama unachokipopoa kimeiva, bangi huleta akili, bisha, cheka, nuna nikugaie kijiti upone na usikikumbuke kikombe
 
Inachekesha eeeh! kumbe bangi inaleta maarifa au hujagundua, lengo ililkuwa ni kupopoa embe na sio kuchuma na ni vizuri kujiridhisha kama unachokipopoa kimeiva, bangi huleta akili, bisha, cheka, nuna nikugaie kijiti upone na usikikumbuke kikombe
Hapo umenena mkuu,thumb up!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom