Duh, isije wapita njia wakaona we ndo kubwa lao hadi unaishi vichakaniMimi ni mmiliki wa huo mwembe nilikuwa nimejibanza kichakani bila wao kujua.
We ni yupi kati ya aliyepanda mtini na huyu aliyebaki chini..???
bangi tamu sana
Hapo umenena mkuu,thumb up!Inachekesha eeeh! kumbe bangi inaleta maarifa au hujagundua, lengo ililkuwa ni kupopoa embe na sio kuchuma na ni vizuri kujiridhisha kama unachokipopoa kimeiva, bangi huleta akili, bisha, cheka, nuna nikugaie kijiti upone na usikikumbuke kikombe