mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Baada ya kuangukia pua mapema wavulana wa soka wa utopolo msione vibaya kuwashangilia na kuwapigia makofi wanaume wa soka la Tanzania kuanzia Biashara leo, Azam kesho na kisha baba lao wekundu wa msimbazi siku ya jumapili. Inabidi mfanye hivyo tu maana ushindi wao ndio mbeleko yenu ya kimataifa!! Ushindi wao unachangia pointi za kuwabeba!! Si mnajua ninyi mmechangia pointi sifuri mwaka huu kwenye kuibeba nchi yetu ili iendelee kupeleka timu 4 CAF mwakani!! Vinginevyo mtakula jeuri yenu!! Povu ruksa!!