Wavulana mna matatizo gani??

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,919
Kwa hisani ya snowhite.......!!!!!!!!!!!!!!
snowhite alimuomba Babu Dark City afungue uzi kuhusiana na vivulana kuzidiwa na vibinti ujanja hadi kushindwa kuvishawishi kuvivua kyupi hadi kufikia kuja hapa JF na kulalamika eti dunia imevitenda

Hii ni aibu kubwa sana kwa jinsia ya kiume

Kwa niaba ya Babu DC[ Dark City ] nimeamua kufungua uzi huo ili maombi ya snowhite yatimizwe

Kitu gani kimetokea hadi mapinduzi haya ya kijinga kutokea kwa hivi vivulana vya sasa kuzidiwa kabisa na vibint vya siku hizi?

Soma huu uzi hapa kwa msaada zaidi:https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/565670-this-life-is-unfair-why-always-me.html

Haya ni majanga kabisa na ni laana kwa hili kutokea
Nakumbuka enzi hizo hakuna kabinti kalikokuwa kanaweza kuhimili vishindo vyetu,nahisi hii ndio sababu hata vibinti hivyo kuamua kujiridhisha vyenyewe kwa vyenyewe[usagaji] hii nayo ni laana nyingine

Siku mhizi kuna malalamiko mengi sana kuwa vijana hawawaridhishi wanawake,nyakati za nyuma haya hayakuwepo sijui ni shetani gani imeikumba hii jinsia adhimu ya kiume hadi kufikia wanawake kulalamika kiasi

Ki ukweli niliposoma haya malalamiko ya snowhite nimejisikia vibaya sana

uliye chuo


Mungu atusamehe na hii dhambi ya kijinga kabisa kwenye hii jinsia yetu

Hivi vivulana vya leo ni vijana wa kesho ni wanaume wa keshokutwa.hili ni janga

Kuna aina ya muziki ilikuwa sio ya vijana enzi hizo na ilikuwa inapendwa na wanawake lakini siku hizi imebadilika kuwa ni miziki ya hivi vivulana vya sasa,balaa gani hili

Nyakati hizo vijana na wanaume walikuwa wanalelewa kiume hasa na ukionekana una vi tabia vya kike kike kama hivyo basi unaipata

Ndio maana hata mashoga wanaongezeka siku hizi

Au malezi ndio tatizo???????????
Aaaaaaaaarrrrrrrgggggggggrrrrrhhhhhhhhhhh !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Evolution ya tamaduni za kifarika kwenda kimagharibi ni sababu ya kwanza. Sasa hivi mvulana anasubiri consent ya msichana ya kumvua kyupi wakati zamani ikishindikana kuvuliwa kidiplomasiaa zinatumika militant ways(chagulaga and the like)

Exposure ya mambinti kwenye mambo ya mahusiano. Sasa hivi binti ana uwezo wa kuamua kama anataka sex ama lah. Ana uwezo wa ku-urgue na mwanamme mchana kweupe. Zamani zile binti alikuzwa akidhania yeye ni chombo cha starehe cha mwanamme na kumnyima K haikuwa sawa.

Uwezo wa kujitegemea kichumi, nao umewaongezea mambinti nguvu ya kuamua mambo ya mahusiano.

Nguvu hizo zote kwa mwanamke zinakuwa hasara kwa mwanamme. Ukizingatia kuwa hakuna jando tena, mafunzo ya kimahusiano zimeachiwa tamthilia za south America, ambazo siku zote stering huwa anasotea mzigo kwa miaka kadhaa na siku akiupata tamthilia inaisha, hii inawafanya vijana kuamini kusotea ndio habari ya mjini.

Anyway, mie kijana wangu nitampiga sana akisotea, namwona kaanza dalili za Bushoke.
 

So sad toto langu nalo linakaa na Mama yake, yani hii inaniumiza akili kweli.

Siwezi kuwa proud kuwa na mtoto wa kiume halafu falafala tu, tangu amezaliwa hata adha ya kutembea kwa mguu kwenda shule haijui wala daladala kwake msamiati.

Nakumbuka tuliosoma private secondary school kipindi chetu jembe na panga zilikuwa ni requirements muhimu sana wakati ukireport form one.

Kipindi cha Agriculture darasani ilikuwa ni dakika 40 tu the rest of day ni kukomaza msuli kwenye shamba la shule. Kweli Mwalimu JK original aliandaa umma.
 
serengeti boys wenzangu wana papara mno!!

we leo tu, kesho wataka entrance key!


ah, subiri subiri hata siku mbili bana!
 

Wewe unadhani ni kosa kwa wanawake kupewa zinazodaiwa kuwa ni haki?
 

Mkuu huyo jitahidi sana abadilike bila hivyo utakuja kulia zaidi baadae

Ssis tulikuwa tunatembea zaidi ya kilomita 8 kwenda shule na tukifika ni mkikimikiki ya kutosha bado ukirudi nyumbani na kukutana na mdingi ni balaa tu

Adhabu zilikuwa ni kuchimba visiki na kulima shamba pamoja na kukusanya magogo
Siku hizi vivulana haviwezi haya kuunyanyua mguu wa binti kitandani,hili si balaa?
 
neocolonialism is part and parcel of this problem...
-----
-----
ndio maana mabinti wanadate aged men coz hivyo vivulana havina behavior za kiumeni..
-----
-----
 

dunia imebadilika kaka.....sasa mtu anakaa upanga anasoma tambaza/azania km nane atatembea vipi??malezi ndio muhimu sio kutembea km 8 wala kuchimba visiki....kuna watu wamekulia ushuani lakini ni wanaume ngangari tu....malezi ndio muhimu
 
neocolonialism is part and parcel of this problem...
-----
-----
ndio maana mabinti wanadate aged men coz hivyo vivulana havina behavior za kiumeni..
-----
-----

Tufanyeje yaishe haya mambo ya kibazazi?
 
Hatukatai binti kupewa haki ya kutoa maamuli,lakim binafsi hawez kuniletea mambo ya masenge nitakapo kula mzigo,hata km ndio mara yke ya kwnz kukutana na mimi. Kwa ufupi tamthiliya zinawaharibu vivulana,hasa hv vnavyodhani kujiliza kw videmu ndio kula mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…