Hizo bangili zinakuwa haijaungwa moja kwa moja.
Kuna jamaa mtaani kwetu alikuwa ameivaa mkono wa kushoto na mkono wa kulia kavaa saa, akiwa kwenye pikipiki kuonyesha bwembwe akaweka mikono nyuma wakati pikipiki iko kwenye mwendo hatari ,si bangili ikaingiliana na saa,kibembe kutoa .
Nadhani kilichotokea wote mmekielewa.



Dduuh. AjaliHizo bangili zinakuwa haijaungwa moja kwa moja.
Kuna jamaa mtaani kwetu alikuwa ameivaa mkono wa kushoto na mkono wa kulia kavaa saa, akiwa kwenye pikipiki kuonyesha bwembwe akaweka mikono nyuma wakati pikipiki iko kwenye mwendo hatari ,si bangili ikaingiliana na saa,kibembe kutoa .
Nadhani kilichotokea wote mmekielewa.
Nipo Na Erick shigongo hapa anaomba namba na location yakoHizo bangili zinakuwa haijaungwa moja kwa moja.
Kuna jamaa mtaani kwetu alikuwa ameivaa mkono wa kushoto na mkono wa kulia kavaa saa, akiwa kwenye pikipiki kuonyesha bwembwe akaweka mikono nyuma wakati pikipiki iko kwenye mwendo hatari ,si bangili ikaingiliana na saa,kibembe kutoa .
Nadhani kilichotokea wote mmekielewa.
Wasema zinasaidia matarizo ya ganzi kwenye mwili.
Wanaopata stroke huvalishwa. Wengine wakiwa na pressure ya kupanda pia huwa wanavaa kusudi wasipate stroke.
Possible.Inamaana inamadini au dawa zozote za kuzuia presha au stroke?
Possible.
Unajua haya Madini mbali na urembo lkn pia ni dawa.
Umenikumbusha kuna siku bush nilimuona masai kapanda boda akiwa kavalia yale mashukaHizo bangili zinakuwa haijaungwa moja kwa moja.
Kuna jamaa mtaani kwetu alikuwa ameivaa mkono wa kushoto na mkono wa kulia kavaa saa, akiwa kwenye pikipiki kuonyesha bwembwe akaweka mikono nyuma wakati pikipiki iko kwenye mwendo hatari ,si bangili ikaingiliana na saa,kibembe kutoa .
Nadhani kilichotokea wote mmekielewa.
alikufa hapo hapoDduuh. Ajali
yale mashuka kwenye pikipiki ni hata sanaUmenikumbusha kuna siku bush nilimuona masai kapanda boda akiwa kavalia yale mashuka
Pikipiki ikiwa imechanganya na ule upepo uliotokana na speed, si ukafunua yale mashuka yakaingia kwenye spoketi ya mnyororo
Basi lile shuka lilivyo jiviringa pale kwenye spoketi likamrusha mita kadhaa kutoka kwenye pikipiki
Masai alitoa mlio fulani wa kilugha kuonesha hali ya hatari iliyo mfika
Umenikumbusha kuna siku bush nilimuona masai kapanda boda akiwa kavalia yale mashuka
Pikipiki ikiwa imechanganya na ule upepo uliotokana na speed, si ukafunua yale mashuka yakaingia kwenye spoketi ya mnyororo
Basi lile shuka lilivyo jiviringa pale kwenye spoketi likamrusha mita kadhaa kutoka kwenye pikipiki
Masai alitoa mlio fulani wa kilugha kuonesha hali ya hatari iliyo mfika


Hizo bangili zinakuwa haijaungwa moja kwa moja.
Kuna jamaa mtaani kwetu alikuwa ameivaa mkono wa kushoto na mkono wa kulia kavaa saa, akiwa kwenye pikipiki kuonyesha bwembwe akaweka mikono nyuma wakati pikipiki iko kwenye mwendo hatari ,si bangili ikaingiliana na saa,kibembe kutoa .
Nadhani kilichotokea wote mmekielewa.
ndo hivo alikufa pale paleBila shaka mwendo aliumaliza salama, akawahi kupumzika zake salama mahali pema kwa Baba Mola.