Kaliro X
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 749
- 438
Habari zenu wana Jamiiforums, it has been a while..
Leo nmekuja na hili wazo.
Kipindi cha karibuni bodaboda zimekuja kurahisisha sana upatikanaji wa usafiri hasa hapa Jijini Dar,
Wauzaji wa pikipiki hizi nao walisoma wakazileta kwa wingi ili waweze kukeep up with the demand
Matokeo ya hili kimekuwepo na utitiri mkubwa wa bodaboda kiasi cha kuleta karaha na usumbufu badala ya kuwa suluhu ya adha ya usafiri
Kule Mbeya lilitolewa tamko la kusitisha usajili wa hivyo vyombo kwa muda kwasbb ya kero iliyopo kwa wasafiri na wateja
Mfano ukishuka tu kwenye mwendokasi pale Gerezani Kariakoo unajikuta umezungukwa na bodaboda kama watano wamekuzibia njia wote wanataka uwe mteja wao na kuna wakati utakuta wanagombana wao kwa wao kwa maneno makali kugombea wateja.
Cha ajabu suppliers wa hizi bodaboda nao wanazidi kuziagiza na kwasasa utashuhudia nyingi zipo tu madukani zinapgwa vumbi hazina wanunuzi na huenda kwa jinsi teknolojia inavyokwenda kasi ikaja teknolojia mpya anytime soon ikawalamba hasara..
Ok ok, nina USHAURI:
Mnaonaje kama mkianza kuwaza kuagiza sasa bodaboda zinazotumia umeme EV-bikes ili kuendana na kasi hii, kama una stock ya bodaboda 100, toa zote agiza hata 50 tuu ambazo una uhakika hata zikikaa showroom kwa next 5-10yrs bado utaweza kuuza..
Anyways..
KAMA KUNA MUUZAJI YEYOTE WA BODABODA kwa ajili ya kuendea kazini TVS AU BOXER X125 NAHITAJI KUNUNUA KWA MKOPO, NIMLIPE 1M CASH THEN INAYOBAKI NITAMLIPA KWA INSTALLMENTS KWA MIEZI 3
Napatikana Kariakoo
TUWASILIANE DM au KWA 0715168802, kwa details zaidi..
Leo nmekuja na hili wazo.
Kipindi cha karibuni bodaboda zimekuja kurahisisha sana upatikanaji wa usafiri hasa hapa Jijini Dar,
Wauzaji wa pikipiki hizi nao walisoma wakazileta kwa wingi ili waweze kukeep up with the demand
Matokeo ya hili kimekuwepo na utitiri mkubwa wa bodaboda kiasi cha kuleta karaha na usumbufu badala ya kuwa suluhu ya adha ya usafiri
Kule Mbeya lilitolewa tamko la kusitisha usajili wa hivyo vyombo kwa muda kwasbb ya kero iliyopo kwa wasafiri na wateja
Mfano ukishuka tu kwenye mwendokasi pale Gerezani Kariakoo unajikuta umezungukwa na bodaboda kama watano wamekuzibia njia wote wanataka uwe mteja wao na kuna wakati utakuta wanagombana wao kwa wao kwa maneno makali kugombea wateja.
Cha ajabu suppliers wa hizi bodaboda nao wanazidi kuziagiza na kwasasa utashuhudia nyingi zipo tu madukani zinapgwa vumbi hazina wanunuzi na huenda kwa jinsi teknolojia inavyokwenda kasi ikaja teknolojia mpya anytime soon ikawalamba hasara..
Ok ok, nina USHAURI:
Mnaonaje kama mkianza kuwaza kuagiza sasa bodaboda zinazotumia umeme EV-bikes ili kuendana na kasi hii, kama una stock ya bodaboda 100, toa zote agiza hata 50 tuu ambazo una uhakika hata zikikaa showroom kwa next 5-10yrs bado utaweza kuuza..
Anyways..
KAMA KUNA MUUZAJI YEYOTE WA BODABODA kwa ajili ya kuendea kazini TVS AU BOXER X125 NAHITAJI KUNUNUA KWA MKOPO, NIMLIPE 1M CASH THEN INAYOBAKI NITAMLIPA KWA INSTALLMENTS KWA MIEZI 3
Napatikana Kariakoo
TUWASILIANE DM au KWA 0715168802, kwa details zaidi..