Jaxon xamxon
New Member
- Jul 2, 2022
- 2
- 1
Naomba mnisaidie ofisi ya wauzaji wa kamera wa uhakika waliopo Zanzibar. Mawasiliano yao au jina la account ya instagram itakuwa bora zaidi.
Siuzi mimi mbona unaongea sanaSasa unaambiwa itaje bei inaendelea kumwekea link ambayo haina kichwa wala miguu jaribu kuelezea biashara yako na kutoa ufafanuzi akienda kwenye hiyo link afanye nini
Kama huuzi wewe kwa nini unatuma link isiyokuhusu wakati unajua mwenye uhitaji anaulizia kilichopo hapa nyumbani?Siuzi mimi mbona unaongea sana