Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
J1 ya miaka 3 iliopita hupati mtu mkuu. Lazima tuwe wakweli hapo. Kwanza kioo kinacracks/scratches za kufa tembo. Pili display yake ni ndogo sana kwa mtu kuvutiwa nayo wakati kwa hiyo bei mtu anapata itel/tecno yenye display kubwa. Pia hiyo simu ina internal storage ya 8gb!! Kwa maisha ya sasa, lowest storage ni 16 gb.Nauza 150,000/=Samsung j12016 iko vizuri tu nakupa na chaji yake nipo dar tabata Segerea no 0657438581
Picha nimeambatanisha hapo chiniView attachment 1067344View attachment 1067345View attachment 1067346
Tazama upya bei yako uje unadi biashara yako mkuu.
Kila la kheri
Sent from my SM-J700F using Tapatalk