Wauza smartphone tukutane hapa

Tecno camon cx
Ram 2gb
Rom 16gb
Lte

230k
0659445718
IMG-20190131-WA0004.jpeg
IMG-20190131-WA0005.jpeg
IMG-20190131-WA0003.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona mtu anakuuzia simu halaf picha inaonesha No sim card, Offline mode, emergency call, no service, display ipo off au mazingira yyt ambayo huoni pale juu kwenye laini ikisoma anza kutumia akili yako vzr.
Au kwa ufupi usikubali kununua simu ambayo muuzaji haitumii ktk mawasiliano, kabla ya kununua hakikisha anaweka laini yake na anawasiliana,

Akili kumchwako, za kuambiwa changanya na zako.

Kwa wale wanaonunua simu mikononi/mtumba au refublished/jailbroken ukiuchukulia au Ukiona huu ushauri ni wa kizwazwa sawa tuu maana maisha ni kuchagua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sana mkuu kwa angalizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samsung A6+ 2018 duos full boxed.
Dua Rear camera : 16MP + 5MP,
Front camera : 24MP,
ina two weeks, charge kwa matumizi ya kawaida DATA ON(4G) 48hrs+, heavy use 16Hrs,
Kwa ufupi hata uwe una stream kiasi gani huwezi maliza charge ndani ya 12Hrs,

Nahitaji ku upgraded to S9+ duos + top up, kwaio mwenye S9+ duos aje tuvunje au unipe 650k.
IMG-20190203-WA0002.jpeg
IMG-20190203-WA0001.jpeg
IMG-20190203-WA0008.jpeg
IMG-20190203-WA0014.jpeg
Screenshot_2019-02-03-19-50-30.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG-20190203-WA0016.jpeg
    IMG-20190203-WA0016.jpeg
    33.7 KB · Views: 41
  • IMG-20190203-WA0001.jpeg
    IMG-20190203-WA0001.jpeg
    29.1 KB · Views: 31
Huawei p10 64gb inauzwa... Ina cracks upande wa juu na upande wa chini, ila hapa katikati ipo clean. Simu ipo vizuri. Pia huawei hii inapokea update ya Pie. Njoo PM na offer yako... Only waliokuwa interested...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauza simu yangu ya iphone6 ina mwezi na nusu...

GB 16, utapata charger, earphones.

Ina screen protector ya 5D plus free cover bure...

Bei 400000 Haipungui.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom