sibusiso dlomo
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 690
- 384
Sh ngapiWadau niko na Samsung Galaxy S7 ya silver nauza bei sawa na bure kabsa,
simu ni nzima na nimekaa nayo for miezi mi 4 tu, reason nauza ni kwa sababu samsung wametoa samasung galaxy s8 ni kawaida yangu kuuza ya zamani kununua mpya, ni mpya na mnunuaji ataipenda maana mie ni mtunzaji wa simu.
serious buyers wanione inbox tuongee biashara!
Haina tatizo lolote mkuu??
Haina tatizo mkuu mi nakuja nazo toka sauzi nilikuja nazo kama 15 hivi zimebaki mbili kwa sasa s7 na hiyo A5Haina tatizo lolote mkuu??
Mkuu hiyo PC vp huuzi....Huawei for Sale
Good Condtion
Haina Michubuko wala Mikwaruzo
Iko kama mpyaa
Internal 4gb
Camera 2mg
Double Line
Na ina support line zote
Nchek kupitia 0686133098
Tshs 125000 tu
View attachment 525249View attachment 525250View attachment 525251View attachment 525252View attachment 525253View attachment 525254View attachment 525255
kioo laki mbili na 80.ni pmNina Samsung S5 yangu shida ni kioo hv kioo ni sh ngapi? au wapi naweza uza hiyo mashine bila hicho kioo?
Mkuu kioo cha j5 sh ngapi plskioo laki mbili na 80.ni pm
Na cha j5 prime ?kioo laki mbili na 80.ni pm
Mzee baba hiyo bei majanga siwezi pata mwenye shida ya mshine nimuuzie?kioo laki mbili na 80.ni pm
Mzee baba hiyo bei majanga siwezi pata mwenye shida ya mshine nimuuzie?kioo laki mbili na 80.ni pm
Samsung z2210000 napata samsung gani hapa isiwe j1 lakini.
laki saba ya kuanzia... bei maelewano!! sorry i was away.Sh ngapi