Wauza smartphone tukutane hapa

Nina j5 ina siku mbili ni ya 2015 3g ina glass protector na kava la kuvutia vyote vipyaaaa nataka nibadilishane na mwenye j7 ya 4g ya 2015 mpyaaa....
njoo PM tuyajengeeeee naitamani sana hio j7
emoji30.png
emoji30.png
emoji30.png
.utapata na ofa ya kuniona mm japo mbaya.
 
Samsung Galaxy s6 nauza

Newly condition,imetumika for 10 days only

Unapewa all accesories,
Earphones bado mpya hata hazijafunguliwa

price: *650k*

Whatsapp,text or call 0785706115
5051f7e74b72cc7a807336b6d08d89d0.jpg
71baf304c3536695d9d81b3efed61eb2.jpg
 
Nauza SAMSUNG GALAXY S7 GOLD.
Used like brand new.
32GB internal memory, 4GB RAM.
Haina tatizo hata moja, wala mkwaruzo.
Ipo kwenye garanty ya 2 yrs kutoka samsung.
Bei 1.1M
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom