Tatizo Ni CHADEMA, ni mabeberu, wanawaambia wazungu wakamate ndege zetu ughaibuni, halafu humu ndani wamesababisha 1% out of 55 million ya population ndio wapande ndege.Duh! Hatari saana sasa!
Sasa, tatizo ni kwa muuzaji au mnunuzi! ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilikuja na meli na kikaondoka na boti,Mjukuu language is not reachable
Unakutana na wazungu wanaomba kupiga picha kumbe wewe ni kichekeshoKilikuja na meli na kikaondoka na boti,
Ukoloni si jambo jema, ila hua nnalaani sana mjeremani kupewa tanganyika katika Berlin conference bora angekabidhiwa muingreza na sisi tukawa na mafrai ova kama Zimbabwe.
Maendeleo hayana chama