Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,446
- 5,127
Kuna sms nimetumiwa kuwa vituo vya mafuta kesho vitagoma rasmi kuuza mafuta baada ya kupokea barua ljumaa kutoka wizara ya nishati na madini kuwaelekeza washushe bei.
Nunua mafuta ya kutosha leo.
Nunua mafuta ya kutosha leo.