edward93
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 563
- 1,354
0783473720 nichek o hata kubip unaruhusiwa.weka mawasiliano
0783473720 nichek o hata kubip unaruhusiwa.weka mawasiliano
ndugu uko seriuosly au unataniaNiko na Lenovo intel inside nataka kubadilishana na mwenye hp co i5 7th gen..
PM
Unapatkana wapi mkuuApple Macbook 5,1 hdd 250 gb ram 2gb, processor 2.4Ghz
Os. OS-X El Capitan versio 10.11.6![]()
![]()
![]()
Mawasiliano
Email regnessboniphace@hotmail.com
Phone +255768014466
Ninayo mother board yakeNauza lap aina ya dell new model,HDD 150gb, Ram 4gb, HDMI, nauza laki na nusu tuu tatizo inawaka na kuzima,tatizo ni mother board. Battery linakaaa Massa zaidi ya 5. View attachment 628030View attachment 628031View attachment 628032
nina laki 2 hiyo naitaka nipigie 0654506515MIM NAUZA DELL LATITUDE E5420
hdd 232 gb
ram 4gb
core i3
ina bluetooth, wi-fi
nb haina webcam
nimeitumia miez 6
nichek 0719 534 513
bei 350000
nina laki 2 niuzie hii nipigie 0654506515Samsung sf 310
HDD 320
RAM 6GB
PROCESSOR 2.1..(CORE I5)
nina laki 2 kama ukipenda nitafute 0654506515HP pavilion mini
HDD 320GB
RAM 2GB
Graphics AMD 1GB
Touch Screen
Battery 4hrs
Windows 10
Web Camera
Bei 300,000/=
PM kwa mawasiliano
Nitumie picha whatsapp namba hii 0625533419nauza toshiba 250 tu
Nina laptop dell ipo vizuri.,
Nitumie picha 0654506515Ninayo Sony viao, ni pm please au nipigie 0655957715 bei 250,000/- tu
Ishauzika mwaka sasa mkuu, pole..Nitumie picha 0654506515
Nina laki mbili nitafute 0625533419
Umeiuza hii?
Sio mpya mkuu, ni used, naitumia mm, ntakupa mawasilian niki confirm imefik kiuhakik coz watu zaid y mmoj wanaihitaj so nafatut reasonable price ndio ntampa mawasilian, sorry 4 that.


Angalau iwe na ram ya 4gb ingependeza (in dr.shika's voice)![]()
Msaada wakuu kwa hizo sifa ,nataka kununua hii PC![]()
Poa kaniambia eti inachezea game zote ,nataka kununua hapaAngalau iwe na ram ya 4gb ingependeza (in dr.shika's voice)




Una taka laptop au Nazi !?Laptop INA hitajika badget 300000, mnakaribishwa wenye Nazi.