Gasper mapile
Senior Member
- Jun 30, 2013
- 195
- 88
njoo nikuuzie mashine iko full ya aina hiyo hard disk 500,ram 2gb,processor 1.8ghz,price 300kAseee nahitaji display ya lenovo G500
njoo nikuuzie mashine iko full ya aina hiyo hard disk 500,ram 2gb,processor 1.8ghz,price 300kAseee nahitaji display ya lenovo G500
Vp kuhusu nvidia card? Unazo?nunua laptop yako ,,,itumie kwa kazi zako lakini ikianza kuleta usumbufu/ikiharibika ,,,nitafute mm
pia utapata accessories zote za laptop kwa bei nafuu zaidi
ram,ac powera adapter, hard disk drive, screen/display
g-power it solution +255 713 756 980
karibuni sana
Nahitaji battery ya laptop dell latitude d620.Mwenye nayo ni on Niko Kanda ya ziwa.nunua laptop yako ,,,itumie kwa kazi zako lakini ikianza kuleta usumbufu/ikiharibika ,,,nitafute mm
pia utapata accessories zote za laptop kwa bei nafuu zaidi
ram,ac powera adapter, hard disk drive, screen/display
g-power it solution +255 713 756 980
karibuni sana
200k vipi mkuu? Usawa unaujua huunjoo nikuuzie mashine iko full ya aina hiyo hard disk 500,ram 2gb,processor 1.8ghz,price 300k
Nipo DarUpo mkoa gan??
Piga hiyo simuNahitaji battery ya laptop dell latitude d620.Mwenye nayo ni on Niko Kanda ya ziwa.
njoo nikuuzie mashine iko full ya aina hiyo hard disk 500,ram 2gb,processor 1.8ghz,price 300k
Nauza toshiba nipo mwanza nicheki 0787384659
Bado unayo au ushauza?hp envy
processor up to 3.5ghz
500Gb
8GB ram
amd radeon 3 Gb graphics card
picha mkuu kunogesha tangazo hafu charge inakaa mda gan?Acer aspire 5349
RAM 4GB
HDD 500GB
Processor celeron B815@1.6GHz 1.6GHz
Price 300k
projector kuna ndugu yangu anayo ni pm nikuunganishe km kwel upo seriousnami nahitaji mkuu huwa vinauzwa bei gani
Samsung sf 310
HDD 320
RAM 6GB
PROCESSOR 2.1..(CORE I5)
Nauza Lenovo G500 bei poa kabisa , hdd500 , ram 4gb,processor 2ghz, windows 10... ni mpya kabisa , bei laki 3 na nusu , hakuna maongezi Zaidi ya hapo..
kwa maelezo Zaidi ni PM
Unauzaje, na ziko wapi? Mpya au used?Kwa wale wenye matatizo na umeme...nauza UPS kwa bei nafuu sana