Wauza laptop tukutane hapa

Wauza laptop tukutane hapa

nunua laptop yako ,,,itumie kwa kazi zako lakini ikianza kuleta usumbufu/ikiharibika ,,,nitafute mm
pia utapata accessories zote za laptop kwa bei nafuu zaidi
ram,ac powera adapter, hard disk drive, screen/display
g-power it solution +255 713 756 980

karibuni sana
Vp kuhusu nvidia card? Unazo?
 
nunua laptop yako ,,,itumie kwa kazi zako lakini ikianza kuleta usumbufu/ikiharibika ,,,nitafute mm
pia utapata accessories zote za laptop kwa bei nafuu zaidi
ram,ac powera adapter, hard disk drive, screen/display
g-power it solution +255 713 756 980

karibuni sana
Nahitaji battery ya laptop dell latitude d620.Mwenye nayo ni on Niko Kanda ya ziwa.
 
Kwa wale wenye matatizo na umeme...nauza UPS kwa bei nafuu sana
 

Attachments

  • IMG_20170511_113627.jpg
    IMG_20170511_113627.jpg
    208.7 KB · Views: 95
Nauza Lenovo G500 bei poa kabisa , hdd500 , ram 4gb,processor 2ghz, windows 10... ni mpya kabisa , bei laki 3 na nusu , hakuna maongezi Zaidi ya hapo..


kwa maelezo Zaidi ni PM

Umeiuza hii?
 
Jichinje sitaki kesi jihukum mwenyewe
 

Attachments

  • IMG_20170514_075237.jpg
    IMG_20170514_075237.jpg
    42.9 KB · Views: 100
  • IMG_20170514_075243.jpg
    IMG_20170514_075243.jpg
    31.9 KB · Views: 94
  • IMG_20170514_075419.jpg
    IMG_20170514_075419.jpg
    35.3 KB · Views: 95
Kwa anayefahamu fees in kiasi gani ukiagiza laptop anijuze tafadhali. fees na VAT
 
Nauza Dell inspiron min laptop, Tshs 220,000
-
-Ram 2Gb
-HD 250Gb
-Ina tatizo Speaker za nje, ukitumia subwoofer iko poa.

ed88b68e867de82ead86b8887f438d50.jpg

Contact: 0675107182.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom