Wauza laptop tukutane hapa

Wauza laptop tukutane hapa

Ninayo Apple --MacBook Pro (Retina, 13-inch, Late 2012)
Processor:2.5 GHz Intel Core i5;
Memory: 8 GB 1600 MHz DDR3;
Graphics: Intel HD Graphics 4000 1536 MB

Piga 0788 141402 kwa kupata bei
weka bei na picha hapa ili tangazo likamilike
 
nunua laptop yako ,,,itumie kwa kazi zako lakini ikianza kuleta usumbufu/ikiharibika ,,,nitafute mm
pia utapata accessories zote za laptop kwa bei nafuu zaidi
ram,ac powera adapter, hard disk drive, screen/display
g-power it solution +255 713 756 980

karibuni sana
Poa external disc drive unauzaje?
 
nina laptop mpya hp ,,

size 13 inch
processor 2.50GHZ_i5
ram 2gb
hdd 320
web camera
using simcard
bei 480,000 tu

ni pm kama ur interested

nina min pia acer, asus, del, na hp
naomba specification za hizo mini laptop
 
Mkuu, hiyo picha vipi?
IMG_0458.JPG


Picha hiyo hapo--Bei ni Tsh. 1,980,000/=
Mazungumzo yapo.
 
nina laptop mpya hp ,,

size 13 inch
processor 2.50GHZ_i5
ram 2gb
hdd 320
web camera
using simcard
bei 480,000 tu

ni pm kama ur interested

nina min pia acer, asus, del, na hp
Nicheki ila Nina laki tatu 0744687381
 
nina laptops zifuatazo
dell latitude e4310 mpya
Ram 4gb
Hdd 320
Processor core i5
nauza 460,000

pia nina lenovo L412 mpya
ram 4gb
Hdd 320
Processor core i3
size 14.1
bei 480000tu

0712191251 nichek if your interested
Nina laki tatu tyu nipi mwanza
 
Hp probook 4530s!
HDD 500 GB, RAM 4 GB, CORE i3 - 2.30GHz, HD Web Cam, HD Display 15.6", Battery 3+ hours!
Bei 300K (fixed)

Tatizo!! Ina dead pixels(alama nyeusi kwnye sehemu chache za diplay)
Vingne vyote its okay!!
1153aac7a2c75099e78aaa36eb327ef7.jpg
6b2462fc7cedf45628225e1027752a3b.jpg
e32021329146b68ddf88af3e88439b95.jpg
82faf8d8ce8542bd615d43eeb9855b29.jpg
 
Hp probook 4530s!
HDD 500 GB, RAM 4 GB, CORE i3 - 2.30GHz, HD Web Cam, HD Display 15.6", Battery 3+ hours!
Bei 300K (fixed)

Tatizo!! Ina dead pixels(alama nyeusi kwnye sehemu chache za diplay)
Vingne vyote its okay!!
1153aac7a2c75099e78aaa36eb327ef7.jpg
6b2462fc7cedf45628225e1027752a3b.jpg
e32021329146b68ddf88af3e88439b95.jpg
82faf8d8ce8542bd615d43eeb9855b29.jpg
250k bos unachukua?
 
Nauza lap aina ya dell new model,HDD 150gb, Ram 4gb, HDMI, nauza laki na nusu tuu tatizo inawaka na kuzima,tatizo ni mother board. Battery linakaaa Massa zaidi ya 5.
images.jpg
Dell_Lat_15_38.jpg
Dell_Inspiron_15_5558_Ansicht2.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom