leyb
Senior Member
- Mar 23, 2013
- 111
- 64
Sh ngapiUnapata...karibu sana.
Sh ngapiUnapata...karibu sana.
Imwekwenda kaka, nilikuwa na simu 3 nazo kwenda pia, poleNkoo Broo hapa naitajii hyooo ktu
Sh.ngapi..na uko wapiMacbook air 2016
Ram 8 Gb
Core i5
ROM 128GB ssd.
OS sierra., haina tatizo lolote, imetumika kwa wiki3
Ni mpya..weka mawasiliano ukifika tz nkuchekiMi niko na Hp elitebook 2760p, touch screen, sim card kw net unatumia, webcam, 4g ram, i5, kioo kinarotet na unewez kuifany km tablet, betry iko poa, inch 13, hdd 320. Unatumia pen kwkutach ila pen yak imenipotea, bei 480,000 bt ninay mm na nik nje so natarajia kuituma tz 05.06.2017 itakuw imefik, km unaihitaj ni pm.
Mkuu chukua 350,000RAM 4GB
HDD 500G
imenunuliwa mwezi wa pili ni bado mpya kabisa.
bei 415,000/= (bei ya dukani 600,000)
mawasiliano 0742128690
Napatikana DSM
View attachment 511481 View attachment 511482 View attachment 511483 View attachment 511483
Laki mbili kwa vyoteSh ngapi
Mkuu hiyo hela sio ndogo ila haina maslah kozi hizi computer ni expensive na ni adim sna, kuna mtu nilimuuzia hp elitebook 2740p ambayo ni toleo la nyuma la Hp elitebook 2760p kwa laki 3.5. Hiyo kuna mtu anaitak kw lak 4.2 hadi siv so angalau 4.5, computa ni used coz naitimia.200,000 nakupa cash
Ushauza mzeeMIM NAUZA DELL LATITUDE E5420
hdd 232 gb
ram 4gb
core i3
ina bluetooth, wi-fi
nb haina webcam
nimeitumia miez 6
nichek 0719 534 513
bei 350000
Sio mpya mkuu, ni used, naitumia mm, ntakupa mawasilian niki confirm imefik kiuhakik coz watu zaid y mmoj wanaihitaj so nafatut reasonable price ndio ntampa mawasilian, sorry 4 that.Ni mpya..weka mawasiliano ukifika tz nkucheki
PoaMkuu hiyo hela sio ndogo ila haina maslah kozi hizi computer ni expensive na ni adim sna, kuna mtu nilimuuzia hp elitebook 2740p ambayo ni toleo la nyuma la Hp elitebook 2760p kwa laki 3.5. Hiyo kuna mtu anaitak kw lak 4.2 hadi siv so angalau 4.5, computa ni used coz naitimia.
Hii ni jumuiya...ukimlenga mtu basi mtaje au m-quote ili ajue.Oya weka namba zako tukutafute chap
Nichec kwa 0652 760 070 tuongee bei !!!Nauza hp envy core i5 4th gen, specs 8ram, 750hdd, processor 1.7, touch screen , inauwezo wa kujikunja 360 yaani kama tablet , INA windows 10
Nichec kwa 0652 760 070 tuongee bei !!!Nauza hp envy core i5 4th gen, specs 8ram, 750hdd, processor 1.7, touch screen , inauwezo wa kujikunja 360 yaani kama tablet , INA windows 10
Taja specification na bei yakoJamani nahitaji laptop