Wauza laptop tukutane hapa

Mi niko na Hp elitebook 2760p, touch screen, sim card kw net unatumia, webcam, 4g ram, i5, kioo kinarotet na unewez kuifany km tablet, betry iko poa, inch 13, hdd 320. Unatumia pen kwkutach ila pen yak imenipotea, bei 480,000 bt ninay mm na nik nje so natarajia kuituma tz 05.06.2017 itakuw imefik, km unaihitaj ni pm.
Ni mpya..weka mawasiliano ukifika tz nkucheki
 
200,000 nakupa cash
Mkuu hiyo hela sio ndogo ila haina maslah kozi hizi computer ni expensive na ni adim sna, kuna mtu nilimuuzia hp elitebook 2740p ambayo ni toleo la nyuma la Hp elitebook 2760p kwa laki 3.5. Hiyo kuna mtu anaitak kw lak 4.2 hadi siv so angalau 4.5, computa ni used coz naitimia.
 
Ni mpya..weka mawasiliano ukifika tz nkucheki
Sio mpya mkuu, ni used, naitumia mm, ntakupa mawasilian niki confirm imefik kiuhakik coz watu zaid y mmoj wanaihitaj so nafatut reasonable price ndio ntampa mawasilian, sorry 4 that.
 
Mkuu hiyo hela sio ndogo ila haina maslah kozi hizi computer ni expensive na ni adim sna, kuna mtu nilimuuzia hp elitebook 2740p ambayo ni toleo la nyuma la Hp elitebook 2760p kwa laki 3.5. Hiyo kuna mtu anaitak kw lak 4.2 hadi siv so angalau 4.5, computa ni used coz naitimia.
Poa
 
Bila picha ni sawa na kufanya mzaha kwenye biashara, MTU akiona na akatajiwa bei huvutika zaidi, Sasa nini mnaweka detail za laptop zenu kila picha wala bei hamuweki unategemea kupata wateja? Na ndio maana kila MTU anasoma anapita tu.
 
Nauza laptop DELL INSPIRON 15

2GB. RAM
5000 HDD
processor =Intel(R) 1.4GHZ
Price=350k
 
IMG_20170521_114215.jpg
 
Back
Top Bottom