Code Breaker
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 1,019
- 446
Hp Probook 460 G2, HDD 500, 4GB ram, Core i3, 2+ hrs battery.. 500K, Dodoma, 0625659542



hiyo ni HARDDISK inaonesha ni ya laptop ukubwa gb 500Wakuu nina hiki kifaa kuna mahala nimekipata ila 9 naomba unisaidie je kifaa gani? Kinatumika kwenye laptop au desktop? Ni fake or Og ? Na je hapa kilipo kipo complete ama laah? Na bei yake kinavouzwa dukani.ahsanteh
View attachment 616536
View attachment 616537
Pitia hapa Smile with Zanzibar. kaka upate ukitakacho kwa uhakikaMwnye samsung aseme
Weka picha.Hp Probook 460 G2, HDD 500, 4GB ram, Core i3, 2+ hrs battery.. 500K, Dodoma, 0625659542
Jaman mm natafta laptop yoyote ambayo n touch screen alaf iwe slim. Kama ipo chek me 0765024294
Weka picha.
Hard disk yake ngapi..na bei ipungue ee![]()
![]()
![]()
Laptop hiyo hapo iko katika Bali nzuri ina risiti yake na ina wiki mbili tangu inunuliwe.
Inauzwa kwa bei ya awamu ya tano tshs 270000/=
Napatikana Dar es salaam.