wauza koni na midori ya watoto

wauza koni na midori ya watoto

Misana Edwin

New Member
Joined
Mar 22, 2012
Posts
2
Reaction score
1
hivi nyie wauza koni ndo makusudi au. mkiona hakuna wateja mnakuja nyumba za watu alafu mnawaita watoto ili wakiona vitu vyenu waanze kulia ili wapate kununuliwa na wazazi wao achane hizo bana maisha magumu.....
 
hizo ni tabia zao za kutafuta wateja kinguvu
 
Huo ni ujasiriamali!Wanatafuta soko la biashhara!Mnataka wakale wapi?
 
Back
Top Bottom