Wauza karanga

Wauza karanga

Eddy Kadinde

New Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
3
Reaction score
2
hivi wale wanaouza karanga za kupima za kwenye vikapu ambao huwa wanaweza hata kukuonjesha wakiwa wanaingia toilet kujisaidia pindi wakiwa mzigoni(barabarani) huwa wanamuachia nani bidhaa zao au huwa wanaingia nazo huko...?
 
Mkuu ingekuwa vizuri uwatafute wewe mwenyewe uwaulize.
 
hivi wale wanaouza karanga za kupima za kwenye vikapu ambao huwa wanaweza hata kukuonjesha wakiwa wanaingia toilet kujisaidia pindi wakiwa mzigoni(barabarani) huwa wanamuachia nani bidhaa zao au huwa wanaingia nazo huko...?

Hilo nalo neno! Cjawah kujiuliza hilo swali ila tunapa7wa kuwa makin na hizi afya zetu ndugu. Duuh! Kinyaaaaa!
 
Back
Top Bottom