Waunguja wawabagua Wapemba

Waunguja wawabagua Wapemba

atakuwa yule sheikh aliyetoka bara ndio kafanya hivyo , mjanja saana yule bwana, anakula kote kote halafu anakuachia wewe mwenyewe ufanye uamuzi wa kuta muungano au wa kutotoka muungano. hapo anamearibu kuonyesha faida za kuvunja muungano na baadae hasara za kuvunja muungano.
 
Kumekuwa na mipango ya makusudi liliyoandaliwa na Makanisa wakishirikana na Viongozi mafisadi kujaza Makanisa Zanzibar na kuhodhi ardhi ya Wazanzibari,

Makanisa hayo yamejazana kama uyoga yakfuatiwa na Migahawa ya nyama ya Kiti moto, baa na umalay uliokithiri mitaani

Zaidi ya 98% ya WaZanzibari ni Waislam, ukuwaji wa makanisa hauwiani kabisa na idadi ya wakiristo wahamiaji waliopandikizwa kwa ajili ya kuaribu mila na dasturi za Wazanzibar

Kama Wazanzibari hamtokuwa makini, basi mtakuwa kama Wapalestina walivyo porwa ardhi yao na Waizraili
 
Tuwe makini na hii hali lasivyo..........!Naona tunadharau mwiba!
 
Hizo ni chokochoki tu wasiopenda kuiona unguja na pemba zikiwa pamoja! But watu hawajui historia ya Unguja na pemba, ukiisoma vizuri, utajua kama muunguja na mpemba ni mmoja na ndio maana katika watawala wore wa kikoloni hawakuvitenga visiwa hivyo kama ilivyofanywa mombasa na mikoa ya pwani TZ. Hivo vipeperushi vya wafitini na sio from Ungujans!
 
Kumekuwa na mipango ya makusudi liliyoandaliwa na Makanisa wakishirikana na Viongozi mafisadi kujaza Makanisa Zanzibar na kuhodhi ardhi ya Wazanzibari,

Makanisa hayo yamejazana kama uyoga yakfuatiwa na Migahawa ya nyama ya Kiti moto, baa na umalay uliokithiri mitaani

Zaidi ya 98% ya WaZanzibari ni Waislam, ukuwaji wa makanisa hauwiani kabisa na idadi ya wakiristo wahamiaji waliopandikizwa kwa ajili ya kuaribu mila na dasturi za Wazanzibar

Kama Wazanzibari hamtokuwa makini, basi mtakuwa kama Wapalestina walivyo porwa ardhi yao na Waizraili
Ndugu yangu tukianza kueneza sera za udini hatutafika kokote hivi kwanini watanganyika hawalamikii wapemba waliojazana Msasani, Kigamboni, Temeke na kwingineko na huo umalaya unaousema hebu uwe muwazi na mjasiri utuambie nani anaye fanya umalaya kwenye hizo hoteli za kitalii zilizozagaa huko ambazo unashindwa kuzilalamika unaishia kulalamikia makanisa.
 
Tatizo labda ni pesa za Mafuta na Gas; zinawafanya wachanganyikiwe... Lakini wataalamu wanasema Maeneo ya Pemba

na Tanga ndio yenye Mafuta mengi zaidi ya Zanzibar; sasa waangalie wanachoomba. Wazanzibar wao wanajiona ni

WaOman sasa sijui wanawaona Wapemba ni Washirazi? Ignorance and Intolerance is the best ENEMY of PEACE
 
Kumekuwa na mipango ya makusudi liliyoandaliwa na Makanisa wakishirikana na Viongozi mafisadi kujaza Makanisa Zanzibar na kuhodhi ardhi ya Wazanzibari,

Makanisa hayo yamejazana kama uyoga yakfuatiwa na Migahawa ya nyama ya Kiti moto, baa na umalay uliokithiri mitaani

Zaidi ya 98% ya WaZanzibari ni Waislam, ukuwaji wa makanisa hauwiani kabisa na idadi ya wakiristo wahamiaji waliopandikizwa kwa ajili ya kuaribu mila na dasturi za Wazanzibar

Kama Wazanzibari hamtokuwa makini, basi mtakuwa kama Wapalestina walivyo porwa ardhi yao na Waizraili

Guess what? Makanisa yalikuwapo tangu 1873; Sasa hapo utataka kusema yaliletwa na Wahamiaji wa Bara? Usiongee

kama wewe ni Ignorant wa past history of East African History; Soma Historia ya East Africa kwanza kabla ya

kuwakilisha hoja zako hapa; tunataka hoja za msingi na za kueleweka sio za kiushabiki ambazo zinaleta Chuki. JAMII

FORUMS ni ya watu wenye hekima na maeleo na sio kuleta chuki.
 
Leo asubuhi imedaiwa kumekuwa navipeperushi vyakuwataka wanapemba waende pemba nakwa wao ndio chokochoko yakuvunja muungano!Chanzo Radio wapo(Kipindi patapata)

the number your calling is not reachable at present please try again later .....
 
Guess what? Makanisa yalikuwapo tangu 1873; Sasa hapo utataka kusema yaliletwa na Wahamiaji wa Bara? Usiongee

kama wewe ni Ignorant wa past history of East African History; Soma Historia ya East Africa kwanza kabla ya

kuwakilisha hoja zako hapa; tunataka hoja za msingi na za kueleweka sio za kiushabiki ambazo zinaleta Chuki. JAMII

FORUMS ni ya watu wenye hekima na maeleo na sio kuleta chuki.

ni kweli yapo... ila mangapi..?"??! lile kanisa la mkunazidi lilikuwa linawatosha wakristo wa zanzbar tena hata kujaa lilikuwa halijai ...... ugomvi ni huu mfumko wa makanisa mapya ambayo ndiyo yanakuja kutafuta waumini zenji .... mitaani yamejaa... haya ndio yanayoleta madawa ya kulevya visiwani kwa kimvuli cha injili.... kanisa la kakobe lilikuwepo hiyo miaka 800 iliyopita ..?
 
hizi propaganda zitaleta mwisho mbaya, kwenye ile mihadhara niliona mashehe na wachangiaji wakitaadharisha swala la mapandikizi kutoka bara na wanasiasa, sasa ninapoona habari hizi za vipeperushi naanza kuona kuwa jamaa walikuwa na point na hii inaweza kuongeza chuki zaidi kwa bara na baadhi ya wazenji
 


ni kweli yapo... ila mangapi..?"??! lile kanisa la mkunazidi lilikuwa linawatosha wakristo wa zanzbar tena hata kujaa lilikuwa halijai ...... ugomvi ni huu mfumko wa makanisa mapya ambayo ndiyo yanakuja kutafuta waumini zenji .... mitaani yamejaa... haya ndio yanayoleta madawa ya kulevya visiwani kwa kimvuli cha injili.... kanisa la kakobe lilikuwepo hiyo miaka 800 iliyopita ..?

Nadhani unajua Wakristo wana madhehebu mbalimbali; Kama Waislamu walivyo na Madhehebu Mambalimbali

Sasa Usinambie Madhehebu yote ya Wakristo watumie kanisa moja kusali; ni kama Waislamu Mfano Dhehebu la Sunni

kama Ismailia na lingine watumie Msikiti Mmoja kweli inawezekana? Au Mfano Mkubwa ni Sunni, Shia na Sufi watumie

Msikiti Mmoja kweli inawezekana? kwahiyo tatizo lako ni Igorance jaribu kusoma na kujua Madhehebu ya kikristo kama

kweli wewe ni mpenda amani, ninajua madhehebu ya kiislamu na najua nguzo za kiislamu siwezi hata siku moja kuikashifu

Dini bora na nzuri kama ya Kiislamu; Kuwa na waumini wachache kanisani sio sababu ya kulichoma moto kanisa. Sio kila

Siku Waumini wanakwenda kaninsani wengi wanakwenda wakati wa Sikukuu; ni kama Waislamu wakati wa Ramadhani

Misikiti inajaa.
 
Huyu wa Dar huyu sio ndo tunakoelekea huko.
 
Kumekuwa na mipango ya makusudi liliyoandaliwa na Makanisa wakishirikana na Viongozi mafisadi kujaza Makanisa Zanzibar na kuhodhi ardhi ya Wazanzibari,

Makanisa hayo yamejazana kama uyoga yakfuatiwa na Migahawa ya nyama ya Kiti moto, baa na umalay uliokithiri mitaani
Zaidi ya 98% ya WaZanzibari ni Waislam, ukuwaji wa makanisa hauwiani kabisa na idadi ya wakiristo wahamiaji waliopandikizwa kwa ajili ya kuaribu mila na dasturi za Wazanzibar

Kama Wazanzibari hamtokuwa makini, basi mtakuwa kama Wapalestina walivyo porwa ardhi yao na Waizraili
[FONT=Tahoma, Calibri, Verdana, Geneva, sans-serif]
Kwani nyinyi wazanzibar asili yenu wapi? Asili ya wazanzbar ni UARABUNI au TANGANYIKA? Hao wahamiaji toka BARA si ni ndugu zenu? Kwahiyo ni nani anawapora ARDHI? UBINAFSI umewaponza hamuwataki tena ndugu zenu wa asili yenu?

Sema tu sisi wengine hatujui tunza kumbukumbu za vizazi kama JEWS, hao mnaowakataa unakuja kuta ni ndugu yako wa damu wa kizazi hata cha 5 tu, au kwa vile leo kabadili dini amekuwa mkristo ndio humtaki tena??!!
[/FONT]

 
Mimi nadhani mwisho wahaya ni watanzania kwaujumla wao wapewe nafasi watoe maoni yao kwauwazi ya je lipi lifanyike kwenye Muungano wetu!
 


ni kweli yapo... ila mangapi..?"??! lile kanisa la mkunazidi lilikuwa linawatosha wakristo wa zanzbar tena hata kujaa lilikuwa halijai ...... ugomvi ni huu mfumko wa makanisa mapya ambayo ndiyo yanakuja kutafuta waumini zenji .... mitaani yamejaa... haya ndio yanayoleta madawa ya kulevya visiwani kwa kimvuli cha injili.... kanisa la kakobe lilikuwepo hiyo miaka 800 iliyopita ..?

Kwani Uislamu hauna kinga ya virus? Kama ni hivyo ni basi uislamu kwishnei! Ngoja nipite hapa usije ukakimbilia kuchoma kanisa!
 
Kwani Uislamu hauna kinga ya virus? Kama ni hivyo ni basi uislamu kwishnei! Ngoja nipite hapa usije ukakimbilia kuchoma kanisa!

Kwani huyu ndie anachomaga? :-D!
 
Back
Top Bottom