Waunguja wawabagua Wapemba

Waunguja wawabagua Wapemba

Sasa ninyi wapemba,mbona hamtaki kukumbuka ya mwaka 2002 yaliyowapata chanzo ni huyo Maalim Seif,baada ya kuyakoroga alikimbilia nchini China,ndg zenu walibaki matatani,na wengine ni marehemu hata leo.Tafakarini hayo.
 
Sasa unawaonea uruma ya nn..waache waende mzigo tu uu bana..aaah
 
mzee kawawa, kombo na karume hawakuwa na vyeti ya chuo kikuu lakini walikuwa na akili, karama na busara x700 zaidi ya seif, jussa na lipuumba! Elimu na vyeti si hoja ndugu zangu...enyi wapemba wauza simu na nguo pale kariakoo mpuuzeni jussa. Akiwambia habari za muungano wa mkataba mzomeeni! Hakuna zbz bila muungano. Mtabaguliwa unguja!!

duwa ya mwewe.......sasa na nyie mtwara mtwabagua?.....
Jee waislam ambao ukivunjika ndo kama hawamo ndani ya serikali mutafanya nini ? Huu muungano ndio unaficha uonevu..angalau utaona majina ya pemba ya waislam..wakiondoka bunge 90% wakristo.....
Bora sie waislam watupu....
 
sasa ninyi wapemba,mbona hamtaki kukumbuka ya mwaka 2002 yaliyowapata chanzo ni huyo maalim seif,baada ya kuyakoroga alikimbilia nchini china,ndg zenu walibaki matatani,na wengine ni marehemu hata leo.tafakarini hayo.
si wali uliwa na askari wa tanganyika...unajua wewe askari wa visiwani walinyanganywa silaha wakati ule?
Kumbe mna tu blackmail kukaa hpa tuwape nchi yetu? Nchi si vijumba ndugu yangu...huko mara kila siku wanachinjana..kila siku.na huko vijijini watu wana kaa na ngombe ndani ya nyumba moja...wewe unaona hapa dar tu.....umaskini wenu ni mara mia ya wa znz omba omba kibao,
 
Wanataja udini.. Ni vigumu kuwa handle watu wa visiwani. Zbz ndani ya muungano ni kama mke mwenye gubu mno kwa mume ingawa kwao masikini!
 
Mzee moyo na karume salmin eddy lihami Juma duni hao wote hawataki Mfumo huu wa kikoloni je nao wapemba ? Chiki mnapandikiza nyie wachaga ili muendelee kuwatawala mbona nyie mlitaka kujitenga kilimanjaro Jibuni hoja za wazanzibar
 
naongea kama mpemba mwenye uchungu na pemba na ninatamani kuishi pemba kama kisiwa kinachojitegemea kuliko kuishi ndani ya janga la muungano ambalo nisos ya zanzibar kurudi nyuma kwa maendeleo.kama ni mzaliwa wapemba hakuna hata familia moja iliyo na at least na great great great grandfather.kama wakaazi wa pemba wana asili ya wamakonde wa msumbuji.kwa wanamtwara itakuaje?kwa yeyote asiyefahamu jamii ya wapemba iko vipi awache uvivu aende pemba akafanye utafiti juu ya asili ya wapemba.ikiwa hapo ningumu aende akapate maelezo chapwa kwa kugoogle ama akishindwa hapo aende kwa nyambari nyangwine koz nyambar amewaokoa watanganyika.all togeza wi sei no union.kama watanganyika wanataka muungano wakaungane na somali.hakuna muunguja anayetaka muungano kama huamini nenda kafanye utafiti.kwa akili na maarifa aliyonayo mpemba juu ya nyanja za uchumi na siasa.ikiwa ni pamoja na maadili mema na ukaribu.nazungumza kama mpemba tutahakikisha muungano tutauvunja chezea mpemba wewe!
 
Hizi fitna mwisho zutaturudia wenyewe wabara. Zanzibar hakujawahi kuwa na suala hilo na halitotokea kamwe, wafitini wakuu ni usalama wakishirikiana na CCM-maslahi zanzibar; huu Muungano tuuvunje tupate Tanganyika yetu.
 
Leo utataja majina yote ya wana UAMUSHO lakini sisi hatujali na mtajua wenyewe....hili mmeshalikoroga na lazima
mlinywe! Wabara kama wamarekani'huwa hatukurupuki kama nyinyi...Sasa tumewatupieni scud hilo kwanza...mkilitegua
hilo tunawatupieni na jingine, sasa tuone kama kutakalika kwenye hako kanchi. Chezea wabara wewe
kaka unapoeneza hizo pumba zako tumia neno mimi usitumie wabara, wabara hawafanyi upuuzi wa namna hiyo.
 
Mzee moyo na karume salmin eddy lihami Juma duni hao wote hawataki Mfumo huu wa kikoloni je nao wapemba ? Chiki mnapandikiza nyie wachaga ili muendelee kuwatawala mbona nyie mlitaka kujitenga kilimanjaro Jibuni hoja za wazanzibar

Haha! Karume yupi? Unajifanya Hujuhi kuwa karume asili yake ni Uarabuni?
Na hata ndugu zake wengine ni raia wa huko?
 
Ukweli ulio wazi ni kuwa wapemba wanajiona wapo karibu sana na Uarabuni na Waunguja wanaona wapo karibu sana na Wabara, kwahiyo kazi ipo.
Wapemba naamini wapo tayari, sio muungano tu bali pia kuwa nchi moja na nchi za kiarabu na sioa kuwa karibu na wa africa.
 
Hawa MWANI hawa KARAFUU, twende babaake......bhuuuuuu.....wera weraaaaa!!!

Wacha masihara, imamu kapigwa msikitini Pemba kwa kosa la kuhamia CCM....!!

Kwa wazee wenzangu mtamkumbuka muimba Taarab wa Tanga Juma Bhalo.....kazi imezua kazi kuliko kazi yenyewe
 
Ukweli ulio wazi ni kuwa wapemba wanajiona wapo karibu sana na Uarabuni na Waunguja wanaona wapo karibu sana na Wabara, kwahiyo kazi ipo.
Wapemba naamini wapo tayari, sio muungano tu bali pia kuwa nchi moja na nchi za kiarabu na sioa kuwa karibu na wa africa.

Wewe una maono yaliyonyooka mkuu, mimi nimepiga picha ya mbali, muda si mrefu baada ya muungano kuvunjika, Unguja itaomba kujiunga na Tanganyika na Pemba itabaki kisiwa cha Waarabu...mwendo wa Tende na Halua
 
Ukweli ulio wazi ni kuwa wapemba wanajiona wapo karibu sana na Uarabuni na Waunguja wanaona wapo karibu sana na Wabara, kwahiyo kazi ipo.
Wapemba naamini wapo tayari, sio muungano tu bali pia kuwa nchi moja na nchi za kiarabu na sioa kuwa karibu na wa africa.

Vp kuhusu mchakato wa katiba ya Tanga na Nyika utaanza lini!!!?
Madai ya Waislam wa Tanganyika-
Mahakama ya Qadhi.
Kujiunga na OIC
Kupumzika siku ya Ijumaa
Madaraka sawa ktk serikali
Kuvunjwa MoU kati ya kanisa na Serikali
Kung'olewa Mfumo Kristo Tanganyika
Mali Asili zilizopo katika maeneo yao ziwafaidishe wao kwanza.
...........
...........
Mngejadili hiki kwanza la katiba yenu achaneni na Znz hamuiwezi km mnabisha Muulizeni Mkuu wa Mfumo Kristo Tz JKNyerere!!!.
 
Mzee Kawawa, Kombo na Karume hawakuwa na vyeti ya chuo kikuu lakini walikuwa na akili, karama na busara x700 zaidi ya Seif, Jussa na Lipuumba! Elimu na vyeti si hoja ndugu zangu...enyi Wapemba wauza simu na nguo pale kariakoo mpuuzeni Jussa. Akiwambia habari za muungano wa mkataba mzomeeni! Hakuna Zbz bila muungano. Mtabaguliwa Unguja!!

Hizo ni propaganda za kizamani zimeshazoeleka z'bar ilikuwepo kabla tanganyika na huo muungano na itaendelea kuwepo
 
Na bdo kwa haraka mnaona mchezo mchezo lakini amini nawambieni Tanzania haitokaa iwepo na mtaikumbuka milele na haitorudi. Kwenu wazanzibar hamko salama tena ninyi si wamoja bali ni waunguja na wapemba. Maalim seif na wengineo wana washawishi kwa faida za matumbo yao eti wanataka zanzibar yenye mamlaka kamiili ili waondoe umasikini. Uongo mtu. sasa mmeipata zanzibar yenu. Tusubiri tuone maendeleo.
 
Walianza na kudai bendera, wimbo wa tafa, nembo ya taifa, ushuru wa forodha, bidhaa na mengi mengineyo lakini hayajawasaidia sasa wanavunja muungano sisi watanganyika tunawaangalia tu tuone mwisho wao. Haya nendeni zenu na hao viongozi wenu wasio na shukrani kila uchwao ni lawama tu.
 
Back
Top Bottom