Waunguja wawabagua Wapemba

Waunguja wawabagua Wapemba

Hawa wazanzibar wasijisumbue maana ss huku bara hatuwezi kuwaachia hako kanchi kwani kana utajiri wa gas na mafuta, ha ha ha..........

Wabara so mchezo...............
 
Hatimae baada ya kuibuka vuguvugu la kuupinga muungano visiwani zanzibar na kupelekea hali ya vurugu, wakazi wenye asili ya unguja wamepitisha vikaratasi kwenye makazi ya raia wenye asili ya pemba waliwataka waondoke mara moja maana hawana shukrani.

My take:
je maneno ya mwalimu yanatimia?

SOURCE: WAPO RADIO FM- KIPINDI YALIYOTOKEA SAA MOJA JIONI.
:violin::ranger:
Mpo hapo?? hii nami nimeiona, ni hatari sana
 
Waunguja na Wapemba wote wake wenza wanamjua mume wao ni Marehemu MWALIMU KUTOKA BUTIHAMA, SASA WAMEACHIWA BWANA ****** HAWAMATKI. NGOJA TUONE MWISHO WA TALAKA WANAZODAI.
 
hatimae baada ya kuibuka vuguvugu la kuupinga muungano visiwani zanzibar na kupelekea hali ya vurugu, wakazi wenye asili ya unguja wamepitisha vikaratasi kwenye makazi ya raia wenye asili ya pemba waliwataka waondoke mara moja maana hawana shukrani.my take:je maneno ya mwalimu yanatimia?source: Wapo radio fm- kipindi yaliyotokea saa moja jioni.:violin::ranger:
hahahahahhah.....hivo vipeperushi vya wazanzibar......mshkaji.....watu zaidi ya laki tano wameshasaini petition ya kuukataa muungano kwa taarifa yako...na wapemba woteeee ni laki 3 tu...na huko pemba hali ni shwariiiikama maji ya mtungini
 
Hilo mbona lilianza siku nyingi? Nionavyo, kwa mfano (Mungu aepushe mbali) kura ya maoni ikipigwa kama Wazanzibar wanataka muungano au la, watu wa Pemba kura zao watataka muungano uendelee, wenye matatizo ni Waunguja.
 
Tupo kama tunawapa umaarufu wasiostahili. Dunia ya leo sio ya kufanya wanayoyafanya. Ni vema tuwaone kuwa wanakasoro iliyopitwa na wakati
 
Mwalimu alishawahi kunena kwamba wakiamua kujitenga, dhambi ya ubaguzi haitawaacha salama. Wanavuka uzanzibari na uzanzibara, sasa wanabaguana kwa huyu ni Muunguja na huyu ni Mpemba. Tunawaombea salama.
 
Mwalimu alishawahi kunena
kwamba wakiamua kujitenga, dhambi ya ubaguzi haitawaacha salama.
Wanavuka uzanzibari na uzanzibara, sasa wanabaguana kwa huyu ni Muunguja
na huyu ni Mpemba. Tunawaombea salama.

huu uwe ni upepo ambao utapita tu bila madhara!
 
Hawa wazanzibar wasijisumbue maana ss huku bara hatuwezi kuwaachia hako kanchi kwani kana utajiri wa gas na mafuta, ha ha ha..........

Wabara so mchezo...............

Hakuna utajiri wowote zaidi ya Utalii ambao sasa mnawakimbiza. Gas ziko Lindi, Mtwara na majini mpakani mwa Mozambique kampuni zote ziko mtwara sio zanzibar. Utalii mtaumaliza na fujo zenu hizo
 
hakuna utajiri wowote zaidi ya utalii ambao sasa mnawakimbiza. Gas ziko lindi, mtwara na majini mpakani mwa mozambique kampuni zote ziko mtwara sio zanzibar. Utalii mtaumaliza na fujo zenu hizo
wanakata kuti walilokalia
 
Hawa wazanzibar wasijisumbue maana ss huku bara hatuwezi kuwaachia hako kanchi kwani kana utajiri wa gas na mafuta, ha ha ha..........

Wabara so mchezo...............

Isitoshe mpaka kufika 2015 hiki kiziwa kitakuwa kimefunikwa na maji na watakuja kuomba hifadhi huku bara!
 
Waunguja na Wapemba wote wake wenza wanamjua mume wao ni Marehemu MWALIMU KUTOKA BUTIHAMA, SASA WAMEACHIWA BWANA ****** HAWAMATKI. NGOJA TUONE MWISHO WA TALAKA WANAZODAI.

Una kauli chafu na mbaya sana badilika sivyo binadamu wanavyotakiwa kuwa!
 
hii mbinu ya zamani sana ya usalama wa taifa kule Zanzibar....tangu kipindi cha Salmin Amour ilikuwa inatumika , pia kupaka kinyesi kwenye shule nk , hata hili la kuchoma makanisa ni kazi yao hiyo....waliwatega muamsho na wametegeka,weshaingia na kutoka ni taabu.
 
Leo asubuhi imedaiwa kumekuwa navipeperushi vyakuwataka wanapemba waende pemba nakwa wao ndio chokochoko yakuvunja muungano!Chanzo Radio wapo(Kipindi patapata)
 
Yale yale aliyosema Nyerere; ukianza kula nyama ya watu huachi...!! Wataanza;
1. Sisi ni wazanzibari, wao ni watanganyika
2. Hiyo dhambi itaendelea kuwatafuna na watagundua kuwa kuna wazanzibari na wazanzibara...
3. Hawataishia hapo; wataanza wao wapemba sisi waunguja....
4. Na wataendelea kujigawa kwenye makundi...

Kwa hayo uliyoyasema inaonyesha wamerukia stage ya tatu... Worse enough, wamechomeka kahatua katika dhambi hiyo kwa kusema wale wa dini ile sisi wa dini hii....!!

Wana JF tuiombee nchi yetu; hili bomu la zanzibar si la kulikalia; ni kumuomba Mungu atusaidie kulitegua lisije likatulipukia.... Machafuko msiombe kukutana nayo..

Na kwa waendesha program ya kuichafua Zanzibar; mjue kuwa; ndugu zenu pia waliooa au kuolewa na watanzania au wa dini nyingine; pamoja na hata ndugu zenu wa damu watadhurika pia na matokeo mabaya ya mnachokichochea kwa sasa... Mungu wa mbinguni na awasaidie...
 
je ww ni sahihi kuandika habari kama hii hapa?ww ndio mzushi
 
Back
Top Bottom