cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Unajua bora uchepuke lakini sio kuzaa hata ka.Mimi sivumilii kamwe aiseeNiliapa kuzaa na mwanamke mmoja tu.
Unajua bora uchepuke lakini sio kuzaa hata ka.Mimi sivumilii kamwe aiseeNiliapa kuzaa na mwanamke mmoja tu.
Na ndo lengo lake anafikiri atamtega mwanaume kwa kuzaa nayeWa hivo anapaswa kumkimbia
Atamganda na kumwaribia ndoa
Yes tatizo wanawake hatujifunziAkiwa na nyege anaweza kukuhaidi hata dreamliner kabisa na maneno kede kede, mwambie una mimba mshituko atakoupata hafu anaanza kukata mazoea kabisa yani loh. Mi mwenyewe siwashauri wanawake wenzangu kuzalia mume wa mtu wakifikiri wanapendwa ka kamsaliti mtu aliyekula kiapo na wanaoishi nao 24/7 sembuse mchepuko anaokuficha ka INI tumboni loh. Hamisa alivokanwa na kuzalilishwa na matusi ya jamii nzima ni fundisho nadhani ana regret
Ha ha ha ha,sijui alinifanyaje bwana nikawa nalia kimoyomoyo tu;unakuta goli liko wazi unashindwa kufunga.Hahahah ulichoka tu chezeya mechi 2 says hahahah sema chunga asikufix
Wengine ni tamaa ya kuzaa na mwanadada wa aina flani basi tu kwa vile kuna vilivo mvutiaWanapenda mteremko hao
Kama hutaki kuzaa na mwanamke Huwezi zaa simple,tatizo wanawaza kukojoa halafu Mimba zikija wanakimbia majukumu
Ukiolewa mmeo akiwa na mchepuko nawe usilie
Uliponaje hilo tatizo na ulimwacha au?Ha ha ha ha,sijui alinifanyaje bwana nikawa nalia kimoyomoyo tu;unakuta goli liko wazi unashindwa kufunga.
Hata mmeo atawafuata kama ulivyofuatwaHahahah
Jameni wananifata wenyewe,tena kwa kufoc and everything
Huyu nilikuwa namtafutia sababu Ili nimwage,nashukuru nimeipata hiyo na nishamwacha rasmi
Ha ha ha ha,sijui alinifanyaje bwana nikawa nalia kimoyomoyo tu;unakuta goli liko wazi unashindwa kufunga.
We acha tu mama watoto anaandaa kila aina ya lishe.kitu hakisimami;ikabidi aniulize tatizo nini.....michepuko inaharibu familia mkuuHeeeh balaa tupu ngoja angekutengeneza asisimame tena milele cha moto ungekiona huku michepuko huwa ni mahangaiko tu ya kuangamiza familia aisee, imagine mobetto alienda kuloga eti apendwe zari atelekezwe zaidi ya kumvuruga diamond mpaka kakongoroka kisa mahusiano kuvunjika wamebaki kukomoana na kuzalilishana tu
Hahahah usiniombee basi jameni mweehHata mmeo atawafuata kama ulivyofuatwa
Kwani mie na angalia malezi ya mwanangu na sio vacation za Malibu baadae mwanangu akanwe akose mda na babake huku watoto halali wakipata upendo wa wazazi wote huko si ndo kumtesa mtotoInaelekea huyo mwanaume hana hela za kutosha tuuu..... nakuhakikishia kama ana hela za maana za kuweza kukufungulia biashara ya maana na kukujengea pamojaa na usafiri ukiweka na vacation za Paris na malibu aisee tena unajishikisha mimba kwa nguvu bila kuambiwa. Tusidanganyane mzee mama.
Labda kama utatubu hii dhambiHahahah usiniombee basi jameni mweeh
Mwanaume wa hivo ni kuwa naye makini Sana maana wanaweza kukuviziaYes tatizo wanawake hatujifunzi
Ila hawa wenzetu wa kuishi nao kwa akil sana
Si ndo hapo what Malibu?Kwani mie na angalia malezi ya mwanangu na sio vacation za Malibu baadae mwanangu akanwe akose mda na babake huku watoto halali wakipata upendo wa wazazi wote huko si ndo kumtesa mtoto
Labda kama utatubu hii dhambi
Kumbe ni hulka yakoNitatubu manake huyu ni wapil sasa
Usihofu
Kwanza Malibu ukafanye nini huko na asiye na akili anajilengesha akiamini anapendwa, huku nje wanaume hutafta tu cha kutoa nyege ka anataka mtoto atangaze hapo haweziSi ndo hapo what Malibu?
Waaambie hao,ukishazalia unamlea sasa mtoto yeye busy Na watoto wake alozaa Na mkewe.