The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,520
Habari za usiku wanajf
Jana nimeachana na mume wa mtu .Trust me alinipenda sana and I did the same but just for fun.
Ishu ni kuwa we we're cool and all that .Nimekuwa naye kama mwaka sasa.Tatizo atachotaka yeye mie nifanye,like what if?mie najijua mchepuko tuu, sasa kutaka kunipangia masharti ya maza house hiyo vepee?
Kama miezi mi4 alianza nifoc nizae. Nikakataa. Ukizingatia jamii na huku jf mnavowaponda masingle mama.Nikajiambia nooo,Iwont do that.Mie nimeridhika na status yangu ya side chik,sina makuu,simpigii simu hovyo, simwombi hela hovyo yaani no drama at all.Ila tukihitajiana ananitafuta tunawekana sawa maisha yanaenda.
But in my mind nilikuwa namchukulia tu kama mpitaji.yes Huweziweka tumaini kwa Mume wa mtu. Kumbe mwenzangu kanogewa anataka weka makazi.
Tumekutana ananiuliza lini wanizalia mtoto?nikamjibu you have 2 kids na mkeo hawatoshi?akanijibu ,no nataka mtoto nawe.Mweehh nikaona huu usiku mzito, nikamjibu tu kama uko serious,niweke hadharani na mkeo ajue,kinyume cha hapo sizai kamwe hata ikitokea nitafanya wafanyao wanawake wengine.
Akasema hunipendi,nikamjibu nooh ila kumbuka mimi ni mchepuko tu haya uyatakayo wapaswa jadili na mkeo wa ndoa.Akaniuliza so uko serious hunizalii,kwa uso mkavu nikajibu yes,ukitaka nifanye utakalo make it officcial.
Akasema siwezi endelea kuwa kwenye mahusiano yasoeleweka purpose yake,nami nikamwambia,purpose ni starehe si kutengeneza family, for that you have to ask your wife.Nikanyanyuka nikabeba mkoba wangu nikaondoka. Waume za watu stop putting girls under pressure wawazalie halafu badae mje jf kuwatukana na kuwadhalilisha.Kumbukeni mchepuke is only for fun msipagawe.kama mnataka watoto make it officcial, wadhan mabint na wanawake hawasomi jinsi mnavyowasakama single mamas huku jf?
Tunasoma na tunaona the results.Ni mjinga tu atakuchukulia mume wa mtu serious hadi akuzalie baada ya kusoma matusi na kejel zote humu jf.
Jana nimeachana na mume wa mtu .Trust me alinipenda sana and I did the same but just for fun.
Ishu ni kuwa we we're cool and all that .Nimekuwa naye kama mwaka sasa.Tatizo atachotaka yeye mie nifanye,like what if?mie najijua mchepuko tuu, sasa kutaka kunipangia masharti ya maza house hiyo vepee?
Kama miezi mi4 alianza nifoc nizae. Nikakataa. Ukizingatia jamii na huku jf mnavowaponda masingle mama.Nikajiambia nooo,Iwont do that.Mie nimeridhika na status yangu ya side chik,sina makuu,simpigii simu hovyo, simwombi hela hovyo yaani no drama at all.Ila tukihitajiana ananitafuta tunawekana sawa maisha yanaenda.
But in my mind nilikuwa namchukulia tu kama mpitaji.yes Huweziweka tumaini kwa Mume wa mtu. Kumbe mwenzangu kanogewa anataka weka makazi.
Tumekutana ananiuliza lini wanizalia mtoto?nikamjibu you have 2 kids na mkeo hawatoshi?akanijibu ,no nataka mtoto nawe.Mweehh nikaona huu usiku mzito, nikamjibu tu kama uko serious,niweke hadharani na mkeo ajue,kinyume cha hapo sizai kamwe hata ikitokea nitafanya wafanyao wanawake wengine.
Akasema hunipendi,nikamjibu nooh ila kumbuka mimi ni mchepuko tu haya uyatakayo wapaswa jadili na mkeo wa ndoa.Akaniuliza so uko serious hunizalii,kwa uso mkavu nikajibu yes,ukitaka nifanye utakalo make it officcial.
Akasema siwezi endelea kuwa kwenye mahusiano yasoeleweka purpose yake,nami nikamwambia,purpose ni starehe si kutengeneza family, for that you have to ask your wife.Nikanyanyuka nikabeba mkoba wangu nikaondoka. Waume za watu stop putting girls under pressure wawazalie halafu badae mje jf kuwatukana na kuwadhalilisha.Kumbukeni mchepuke is only for fun msipagawe.kama mnataka watoto make it officcial, wadhan mabint na wanawake hawasomi jinsi mnavyowasakama single mamas huku jf?
Tunasoma na tunaona the results.Ni mjinga tu atakuchukulia mume wa mtu serious hadi akuzalie baada ya kusoma matusi na kejel zote humu jf.