Waume wameisha au veepe?

Waume wameisha au veepe?

Na kweeeeeeli
I can see
72ad443f3d100e270e09ce9d37af68ff.jpg
 
1. Wanaume wako magerezani wamefungwa vifungo virefu, wengine wamehukumi wakutolewa uhai,
2. Wanaume wengine ni mashoga hawa si waoaji.
3. Wanaume wengine ni mateja hawa hawana muelekeo wa kuoa pita ubungo usiku utashuhudia wamelala kwenye maboxi
4. Wapo wanaume wanywaji gongo hawa wanakufa haraka na kuzidi kuimaliza idadi ya. , 5.Wapo majambazi wanaouawa na polisi daily kwa ile 'ririkuwa linashindana na polisi
tuka4ishinda '
6. Wapo sasa wanaokufa kwa STRESS za maisha na za wanawake hawa ni wale ambao wanajiona vidume vya kuhudumia wanawake wa wenzao . Hawa wanaume hawafi kwa stress peke yake lakini pia wanakufa kwa kutumika vya kutosha kingono kwa kukimbia kilometa za kutosha kifuani mwa mwanamke wakifikiri wanawakomoa hao wanawake.
Sasa kujibu swali lako ni kweli wanaume wameisha na walipoenda ndipo hapo nilipopaelezea. Kilichobaki binti pambana na hali yako
 
1. Wanaume wako magerezani wamefungwa vifungo virefu, wengine wamehukumi wakutolewa uhai,
2. Wanaume wengine ni mashoga hawa si waoaji.
3. Wanaume wengine ni mateja hawa hawana muelekeo wa kuoa pita ubungo usiku utashuhudia wamelala kwenye maboxi
4. Wapo wanaume wanywaji gongo hawa wanakufa haraka na kuzidi kuimaliza idadi ya. , 5.Wapo majambazi wanaouawa na polisi daily kwa ile 'ririkuwa linashindana na polisi
tuka4ishinda '
6. Wapo sasa wanaokufa kwa STRESS za maisha na za wanawake hawa ni wale ambao wanajiona vidume vya kuhudumia wanawake wa wenzao . Hawa wanaume hawafi kwa stress peke yake lakini pia wanakufa kwa kutumika vya kutosha kingono kwa kukimbia kilometa za kutosha kifuani mwa mwanamke wakifikiri wanawakomoa hao wanawake.
Sasa kujibu swali lako ni kweli wanaume wameisha na walipoenda ndipo hapo nilipopaelezea. Kilichobaki binti pambana na hali yako
Duuuuuh

 
Utakuta mwanamke hana chochote,kaz hana alafu ana ndoto za kuolewa na MTU aliyefanikiwa kimaisha
 
Back
Top Bottom