Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,563
Halafu wanapendeza sanahapa mpo kumbe hivi kwa nini wauguzi wanavaa sketi fupi fupi ??
Halafu wanapendeza sanahapa mpo kumbe hivi kwa nini wauguzi wanavaa sketi fupi fupi ??
na umkute kajaliwa ,ugonjwa utakupoa mbonaHalafu wanapendeza sana
Habarini wanandugu?
Nimemaliza chuo mwaka huu natafuta sehem ya kujishikiza huku nikisubiria matokeo ya mtihan wa lesen
Pia nilikuwa naulizia kwa wenye experience kuwa lesen za huwa zinachukua muda gani kutoka manake mm nimeandika mtihan mwez wa 9
hapa mpo kumbe hivi kwa nini wauguzi wanavaa sketi fupi fupi ??
Mkuu mjamzito kuvimba miguu ni kawaida?
Mkuu mjamzito kuvimba miguu ni kawaida?
Habari za jioni wana jamvi, ni matumaini yangu Hamjambo. Wale wenye matatizo mbalimbali nawaombea kwa Mwenyezimungu awaponye maradhi yao...
nimeona nianzishe uzi huu kwa lengo la kuwakutanisha wauguzi wakunga ambao tunatumia JAMII FORUM
KARIBUNI SANA TUBADILISHANE MAWAZO. UUGUZI NI WITO
NURSES ARE THE HEART OF HOSPITALS![]()