Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
Mahakama kuu huko Shinyanga imefanya kweli tena kwa kuwahukumu kunyongwa mpaka kufa washitakiwa wane wa mauaji ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) Lyaku Wily (50) ambaye pia alikuwa na ulemavu wa akili.
Waliokumbwa na adhabu hiyo ni hawa; Mboje Mawe(46), Nchenyenye Kishiwa (65), Sayi Lyamaya (4 na Sayi Mafizi (33) wote wakiwa ni wakazi wa wilaya ya Bariadi mkoani Shinyanga.
Waliokumbwa na adhabu hiyo ni hawa; Mboje Mawe(46), Nchenyenye Kishiwa (65), Sayi Lyamaya (4 na Sayi Mafizi (33) wote wakiwa ni wakazi wa wilaya ya Bariadi mkoani Shinyanga.