Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,457
- 65,765
Wauaji wataenda mbele za Mungu na kuomba msamaha na Mungu atawasamehe maana kasema ijapokuwa dhambi zenu nyekundu mimi nitazing'arisha kama ziwe nyeupe kama sufii
Na yatima na wajane na wakiwa wataenda muomba Mungu awaadhibu wale waliofanya mauaji ndani ya familia yao
Hapo inakuwaje sasa
Kiranga Malaria 2
Na yatima na wajane na wakiwa wataenda muomba Mungu awaadhibu wale waliofanya mauaji ndani ya familia yao
Hapo inakuwaje sasa
Kiranga Malaria 2