oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
Hivi inakuwaje serikali inafukuza madaktari wanaowatibia pneumonia na malaria zenu pale mhimbili na ninyi mmenyamanza kimya? watawala wakiugua wanapanda pipa, ninyi mkiugua mnakimbilia mhmbli ambapo mama nyoni(katibu wizara ya afya) amefukuza madaktari, nani atawatibu huko? kilichofanywa na wizara ya afya ni kama kumwaga uji wa mgonjwa mahututi, kipi kitatokea?si watz, si wanaojiita wanaharakati, si profesionals; wote waoga!!!kwa nini wananchi msiwape kampani hao madokta wanaonyanyaswa na kuingia barabarani kuandamana hadi wizara ya afya? mbona nchi nyingine kama nigeria, kenya n,k wanaungana na kuandamana linapokuwa swala la kuhatarisha maslahi yao? kwani nani amewaloga watanzania hata kuwa kama mbwa aliyemwona chatu?tunaliwa huku tukiwa macho na akili zetu, ama kweli lakuvunda halina ubani!!!!!!!!!