Point!hao watanzania wana kazi?
Serikali imechemsha. Tunatoa mikopo tupate wasomi wataalam wamalizapo ajira hakuna kwa vile serikali inaruhusu wageni kushika nafasi zote za kazi. Hata wale wachache wanaopata ajira mishahara inasikitisha na haimfikishi robo ya mwezi! Katika mazingira ya namna hizi nani atalipa mkopo wa Bodi? Kama ni kushitaki watashitaki mamia ya maelfu ya waTz. Serikali inatakiwa ijenge na kutumia wataalam wake kikamilifu kwa kuweka mfumo wa fedha za mikopo ya elimu sambamba na kusimamia ajira za wahitimu pamoja na viwango vyao vya mishahara ya chini kulingana na taaluma na madaraja yao. Hali ilivyo hivi sasa msomi wa chuo kikuu usishangae akalipwa mshahara mdogo kuliko mtoto wa bosi mmiliki wa kampuni hata kama hakusoma kabisaaa.WaTZ 80,000 watafikishwa mahakamani kwa kutolipa mikopo ya elimu ya juu
Source BBC
WaTZ 80,000 watafikishwa mahakamani kwa kutolipa mikopo ya elimu ya juu
Source BBC
WaTZ 80,000 watafikishwa mahakamani kwa kutolipa mikopo ya elimu ya juu
Source BBC
Na mafisadi je?
WaTZ 80,000 watafikishwa mahakamani kwa kutolipa mikopo ya elimu ya juu
Source BBC