Watusi walifikaje Mkoa wa Mbeya?

Watusi walifikaje Mkoa wa Mbeya?

Planet Data bundles

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,275
Reaction score
4,080
Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.

Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.

Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?

Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
 
Nadhani ni katika suala zima la kuoleana maana nakumbuka mwaka nimetembelea Wilaya ya Kyela nulipokuwa naishi kulikuwa na jirani yetu Mjeshi mstaafu wa kinyaki familia yake ilikuwa na wajihi wa kinyaru. Nilipoendekea kuchunguza zaidi niligundua kuwa mama yao ni mnyarwanda.
wajihi ndo nn
 
Nadhani ni katika suala zima la kuoleana maana nakumbuka mwaka nimetembelea Wilaya ya Kyela nulipokuwa naishi kulikuwa na jirani yetu Mjeshi mstaafu wa kinyaki familia yake ilikuwa na wajihi wa kinyaru. Nilipoendekea kuchunguza zaidi niligundua kuwa mama yao ni mnyarwanda.
mkuu umeijibu kwa weredi sana hii
 
Back
Top Bottom