Hivi kipindi Afrika imeenda kutawala ulaya walijua Sisi tukaenda kuwafanya nin?..
Historia inasema Afrika ilitawala Ulaya kabla ya wao kuja huku.. Kwa bahati mbaya historia inayofundishwa mashuleni inafanya waafrika waonekane kama vile ni wanyonge yani
Inatakiwa tushtuke kama vile China iliamua kushtuka..