Watumishi wa umma sasa kwisha

Watumishi wa umma sasa kwisha

cluster ndara

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2018
Posts
211
Reaction score
318
Wakuuu natazama taarifa Ya habari hapa naona Rais Magufuli amebadilisha utaratibu wa wakuu wa planing Ardhi majengo na maji wa Halmashaur ya wilaya kuwa sasa watawajibika Kwa wizara moja Kwa moja.

Hiii ni hatari Sana kumbukeni kuwa alipoingia madarakani alibadilisha ule utaratibu wa kuwapata madasi yani makatibu tawala wa wilaya na wakurugenzi akawa anawateua yeye.

Kinachooonekana ni kuwa anataka watumishi wooote wawe chini yake, ndio maaana anabadilisha utaratibu wa kisheria yani anaposema mtu afukuzwe moja Kwa moja hiii si sawa ni ukandamizaji wa Hari Ya juuu maaaana mtu hataweza kujitetea popote.

Wakuu huyu baba anataka kila kitu kiwe chini yake na falsafa yake ni fukuza fukuza hili ni janga kubwa Sana tena Sana watumishi sasa wanaenda kufukuzwa Kama njugu.

Lakini pia madiwani wamenyang'anywa madaraka sasa maaana wakurugenzi hapo awali walikuwa wanawajibishwa na madiwani sasahivi Diwani hawezi kuthubutu ataaambiwa weeee Mimi nimeletwa hapa na rais na Mwisho had walimu watakuwa chini yake wakuu hili ni janga
 
Mkuu mbona kama umeangalia kitu kimoja tu?
1. Ina maana ukiritimba huuoni kama sasa utapotea sababu ya yale mambo ya usumbufu na urasimu katika maofisi ya serikali?
No ukiritimba ndio utazidi Kama mkuu wa idara ataratibiwa na wizara badala Ya madiwani mkuu ni hatari kumbuka kuwa halamashauri ziko zaidi Ya 180 zote ziratibiwe na mtu mmoja si jumbo rahis Kama unavyofikiria tofauti na madiwani walioko hapo hapo Siku zoote saaa yooote pia kumbuka kuna watakaoletwa na huyo katibu mkuu Kama Jamaa zake
 
Mkuu mbona kama umeangalia kitu kimoja tu?
1. Ina maana ukiritimba huuoni kama sasa utapotea sababu ya yale mambo ya usumbufu na urasimu katika maofisi ya serikali?
Ukiritimba hautaondolewa na kuzihamisha hizo idara! Mzee baba mpaka ajinyee awamu hii, aliyataka mwenyewe!!
 
Wakuuu natazama taarifa Ya habari hapa naona Aucle magufuli amebadilisha utaratibu wa wakuu wa planing Ardhi majengo na maji wa Halmashaur ya wilaya kuwa sasa watawajibika Kwa wizara moja Kwa moja hiii ni hatari Sana kumbukeni kuwa alipoingia madarakani alibadilisha ule utaratibu wa kuwapata madasi yani makatibu tawala wa wilaya na wakurugenzi akawa anawateua yeye, kinachooonekana ni kuwa anataka watumishi wooote wawe chini yake, ndio maaana anabadilisha utaratibu wa kisheria yani anaposema mtu afukuzwe moja Kwa moja hiii si sawa ni ukandamizaji wa Hari Ya juuu maaaana mtu hataweza kujitetea popote, wakuuu huyu baba anataka kila kitu kiwe chini yake na falsafa yake ni fukuza fukuza hili ni janga kubwa Sana tena Sana watumishi sasa wanaenda kufukuzwa Kama njugu Lakini pia madiwani wamenyang'anywa madaraka sasa maaana wakurugenzi hapo awali walikuwa wanawajibishwa na madiwani sasahivi Diwani hawezi kuthubutu ataaambiwa weeee Mimi nimeletwa hapa na rais na Mwisho had walimu watakuwa chini yake wakuu hili ni janga
Huu Uzi nimesoma nikaishia katikati, inawezekana kabisa Ujumbe ukawa mzuri ila tatizo uandishi. Daaaaah mkuu mkato na nukta zilikupitia kushoto? Hata ladha ya kuendelea kusoma inakata mkuu, rekebisha huu uzi bwana unyooshe maelezo
 
Tukiwaambiaga tukinukishe hadi tupate katiba mpya ambayo ndio tiba ya haya yote, mnatuona sisi walevi mara hoo hatuna kazi za kufanya.

Sasa mkome na hapa bado ni hasubui tu... Mpaka 2025 huko?! Aisee bado hasubui sana ndio kwaaanza kumekucha.
 
Wakuuu natazama taarifa Ya habari hapa naona Aucle magufuli amebadilisha utaratibu wa wakuu wa planing Ardhi majengo na maji wa Halmashaur ya wilaya kuwa sasa watawajibika Kwa wizara moja Kwa moja hiii ni hatari Sana kumbukeni kuwa alipoingia madarakani alibadilisha ule utaratibu wa kuwapata madasi yani makatibu tawala wa wilaya na wakurugenzi akawa anawateua yeye, kinachooonekana ni kuwa anataka watumishi wooote wawe chini yake, ndio maaana anabadilisha utaratibu wa kisheria yani anaposema mtu afukuzwe moja Kwa moja hiii si sawa ni ukandamizaji wa Hari Ya juuu maaaana mtu hataweza kujitetea popote, wakuuu huyu baba anataka kila kitu kiwe chini yake na falsafa yake ni fukuza fukuza hili ni janga kubwa Sana tena Sana watumishi sasa wanaenda kufukuzwa Kama njugu Lakini pia madiwani wamenyang'anywa madaraka sasa maaana wakurugenzi hapo awali walikuwa wanawajibishwa na madiwani sasahivi Diwani hawezi kuthubutu ataaambiwa weeee Mimi nimeletwa hapa na rais na Mwisho had walimu watakuwa chini yake wakuu hili ni janga
Japo umeandika hovyo lakini nahisi wewe ni muathirika namba moja wa uamuzi wa Mh Rais.!

Hebu fikiri kidogo Kama wewe ni mkazi wa Dar tembelea kimara.! Angalia ujenzi unaofanyika kisha jiulize je wilaya hiyo ina afisa mipango ardhi?
Upimaji wa viwanja na ramani idara hiyo ipo? Kama ipo, ipo tangu lini?
Je wanalipwa mishahara kama ndio je kwa kazi ipi. Ama iliyofanywa ama inayofanywa, sasa.!

Au tembelea Jiji la mbeya hasa maeneo ya uyole juu na uyole kati angalia Zile nyumba zinazojengwa kisha jiuliza afisa Ardhi yupo.?
Je jiji la Mbeya lina idara ya upimaji na ramani.? Kama ipo hiyo idara je ina muda gani? Na je ina watu wanaolipwa na serikali? Kama ndio je kwa kazi ipi wanayofanya?!!

Kisha baada ya hapo usisahau uuzwaji wa viwanja vilivyopimwa ulivyo na mizengwe na rushwa vibali vya ujenzi na nk.

Au amua kutembelea Nchi jirani tu kisha angalia miji ya wenzetu na huo wa kwetu.

Ukisha jijibu maswali hayo utampongeza mh Rais kwa uamuzi huo..
 
Japo umeandika hovyo lakini nahisi wewe ni muathirika namba moja wa uamuzi wa Mh Rais.!

Hebu fikiri kidogo Kama wewe ni mkazi wa Dar tembelea kimara.! Angalia ujenzi unaofanyika kisha jiulize je wilaya hiyo ina afisa mipango ardhi?
Upimaji wa viwanja na ramani idara hiyo ipo? Kama ipo, ipo tangu lini?
Je wanalipwa mishahara kama ndio je kwa kazi ipi. Ama iliyofanywa ama inayofanywa, sasa.!

Au tembelea Jiji la mbeya hasa maeneo ya uyole juu na uyole kati angalia Zile nyumba zinazojengwa kisha jiuliza afisa Ardhi yupo.?
Je jiji la Mbeya lina idara ya upimaji na ramani.? Kama ipo hiyo idara je ina muda gani? Na je ina watu wanaolipwa na serikali? Kama ndio je kwa kazi ipi wanayofanya?!!

Kisha baada ya hapo usisahau uuzwaji wa viwanja vilivyopimwa ulivyo na mizengwe na rushwa vibali vya ujenzi na nk.

Au amua kutembelea Nchi jirani tu kisha angalia miji ya wenzetu na huo wa kwetu.

Ukisha jijibu maswali hayo utampongeza mh Rais kwa uamuzi huo..
Mkuuu Kama kweli una uelewa vizuri hueezi kubaliana na jambo hili hata kidogo mabadiliko haya yakujiribikishia madaraka tulishahama huko tukapeleka madaraka mikoani na wilayani hatua iliyokuwa inafuata ni kupeleka madaraka kwenye Kata sasa tunarudi tuliko toka labda wewe ujitoe ufaham
 
Utafukuzwaje kama hufanyi madudu?
sio lazima ufanye madudu wewe. kumkuu wa idara ya fedha mafia amefukuzwa kazi kwa kumlatalia mkurugenzi ndugu erick mapunda aliyeteuliwa na MAGUFULI kufuata taratibu za pesa. umekaa hapo ulipo unabwabwaja tu kama kasuku
 
Back
Top Bottom