cluster ndara
JF-Expert Member
- Apr 1, 2018
- 211
- 318
Wakuuu natazama taarifa Ya habari hapa naona Rais Magufuli amebadilisha utaratibu wa wakuu wa planing Ardhi majengo na maji wa Halmashaur ya wilaya kuwa sasa watawajibika Kwa wizara moja Kwa moja.
Hiii ni hatari Sana kumbukeni kuwa alipoingia madarakani alibadilisha ule utaratibu wa kuwapata madasi yani makatibu tawala wa wilaya na wakurugenzi akawa anawateua yeye.
Kinachooonekana ni kuwa anataka watumishi wooote wawe chini yake, ndio maaana anabadilisha utaratibu wa kisheria yani anaposema mtu afukuzwe moja Kwa moja hiii si sawa ni ukandamizaji wa Hari Ya juuu maaaana mtu hataweza kujitetea popote.
Wakuu huyu baba anataka kila kitu kiwe chini yake na falsafa yake ni fukuza fukuza hili ni janga kubwa Sana tena Sana watumishi sasa wanaenda kufukuzwa Kama njugu.
Lakini pia madiwani wamenyang'anywa madaraka sasa maaana wakurugenzi hapo awali walikuwa wanawajibishwa na madiwani sasahivi Diwani hawezi kuthubutu ataaambiwa weeee Mimi nimeletwa hapa na rais na Mwisho had walimu watakuwa chini yake wakuu hili ni janga
Hiii ni hatari Sana kumbukeni kuwa alipoingia madarakani alibadilisha ule utaratibu wa kuwapata madasi yani makatibu tawala wa wilaya na wakurugenzi akawa anawateua yeye.
Kinachooonekana ni kuwa anataka watumishi wooote wawe chini yake, ndio maaana anabadilisha utaratibu wa kisheria yani anaposema mtu afukuzwe moja Kwa moja hiii si sawa ni ukandamizaji wa Hari Ya juuu maaaana mtu hataweza kujitetea popote.
Wakuu huyu baba anataka kila kitu kiwe chini yake na falsafa yake ni fukuza fukuza hili ni janga kubwa Sana tena Sana watumishi sasa wanaenda kufukuzwa Kama njugu.
Lakini pia madiwani wamenyang'anywa madaraka sasa maaana wakurugenzi hapo awali walikuwa wanawajibishwa na madiwani sasahivi Diwani hawezi kuthubutu ataaambiwa weeee Mimi nimeletwa hapa na rais na Mwisho had walimu watakuwa chini yake wakuu hili ni janga