Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,220
- 138,651
Watumishi wenzangu wa umma bila kujali cheo wala ngazi ya mshahara,bila kujali ni permanent and pensionable ama ni mkataba,nawaalika hapa ili tujadili na kukubaliana kuhusu hatma yetu Octoba 25.
Katika mjadala wetu tujadili juu ya mazingira ya kazi kwa ujumla ikiwa pamoja na stahiki zetu.Kwa kuanzia tu niseme mimi kama afisa mwandamizi wa serikali naona watumishi tuna changamoto nyingi sana ambazo zimekosa majibu na utatuzi.Mojawapo ikiwa ni gap kati ya maslahi yetu na wanasiasa.
Wanasiasa wanakula nchi mpaka mbegu.Mfano ni ukata uliokumba ofisi zetu mwaka huu,lakini unaweza kusikia mamilioni na mabiliöi kuhonga wanasiasa.Mnasemaje kuhusu PAYE kwenye mishahara ukilinganisha na misamaha ya kodi kwa makambuni makubwa ya kibiashara. Watumishi wenzangu mnasemaje kuhusu wanasiasa kuwa ndio kila kitu nchi kiasi cha taaluma zetu kuwa dumped.
Mfano mzuri ni jinsi bajeti ilivyovurugwa mwaka wa fedha uliopita na unaoendelea.Watumishi bunge la katiba halikuwa kwenye bajeti na pesa zimetafunwa.Mambo ya maabara yamekwapua Grants zote na Mapato ya Ndani.
Unajua hujalipwa stahili zako ngapi kutokana na lack of budget displine?Sasa ndugu watumishi tunafanyaje Oct 25?Ni kweli CCM bado inatosha?
Tujadili hapa.
Katika mjadala wetu tujadili juu ya mazingira ya kazi kwa ujumla ikiwa pamoja na stahiki zetu.Kwa kuanzia tu niseme mimi kama afisa mwandamizi wa serikali naona watumishi tuna changamoto nyingi sana ambazo zimekosa majibu na utatuzi.Mojawapo ikiwa ni gap kati ya maslahi yetu na wanasiasa.
Wanasiasa wanakula nchi mpaka mbegu.Mfano ni ukata uliokumba ofisi zetu mwaka huu,lakini unaweza kusikia mamilioni na mabiliöi kuhonga wanasiasa.Mnasemaje kuhusu PAYE kwenye mishahara ukilinganisha na misamaha ya kodi kwa makambuni makubwa ya kibiashara. Watumishi wenzangu mnasemaje kuhusu wanasiasa kuwa ndio kila kitu nchi kiasi cha taaluma zetu kuwa dumped.
Mfano mzuri ni jinsi bajeti ilivyovurugwa mwaka wa fedha uliopita na unaoendelea.Watumishi bunge la katiba halikuwa kwenye bajeti na pesa zimetafunwa.Mambo ya maabara yamekwapua Grants zote na Mapato ya Ndani.
Unajua hujalipwa stahili zako ngapi kutokana na lack of budget displine?Sasa ndugu watumishi tunafanyaje Oct 25?Ni kweli CCM bado inatosha?
Tujadili hapa.