kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,764
- 3,940
Sio mbea wewekuna chanzo cha uhakika kilitaka kunidadafulia hilo, nikawa nimempotezea, niliona kama hainihusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mbea wewekuna chanzo cha uhakika kilitaka kunidadafulia hilo, nikawa nimempotezea, niliona kama hainihusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya!hebu funguka mkuu!yaani increament au???Niambie man!!!kuna chanzo cha uhakika kilitaka kunidadafulia hilo, nikawa nimempotezea, niliona kama hainihusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hii nchi inabajeti? Nilishangaa alipokuwa anamwambia kangi lugola leo kuwa ametumia trillion 1 ambayo haijapitishwa na bunge ikabidi nicheketu.yeye ametumia billions of taxpayers money kuanzisha miradi ambayo hata bunge halifahamu ndio ujuwe mkulu anapuliza.
Umekuwa mpole siku hizi sio Kama 2008 -2011 anyway hujanikosea nakukalia kimyakuna chanzo cha uhakika kilitaka kunidadafulia hilo, nikawa nimempotezea, niliona kama hainihusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ujui maana kaa kimya siyo lazima ukomenti, tutakujibu ovyo tukuhalibie siku uongope na kuingia JF.Unaulizia mishahara ya watu ikusaidie nini
Ndiyo ni kweli kuna ongezekoNipo kweye usafiri wa umma abiria mwenzangu kapokea simu katika mazungumzo anamwambia mwenzia kuwa Mh. Rais kawakumbuka kaongeza mshahara mwezi huu wa kwanza.
Yaani mshahara umetoka leo tarehe 23/01/2020 ukiwa na ongezeko
Je ni kweli? Kama kweli kawaongeza asilimia ngapi?
Mkuu mmoja wa vijana wangu anauliza kwaniNdiyo nilichosema au kuuliza. Toka lini budget ikawa na maana nchi hii?
Zungu anafahamu.. Hakuna uzinduzi ambao amekosekana...Hivi hii nchi inabajeti? Nilishangaa alipokuwa anamwambia kangi lugola leo kuwa ametumia trillion 1 ambayo haijapitishwa na bunge ikabidi nicheketu.yeye ametumia billions of taxpayers money kuanzisha miradi ambayo hata bunge halifahamu ndio ujuwe mkulu anapuliza.
amna kitu mkuu mimi sijapata badoNaona mwezi huu mmelipwa mapema ndugu watumishi.
Baba tunyooshe baba nimepita ATM mashine saa 5 usiku nikawa mpolee
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee mbona kuna jamaa kasema mmelipwa jana mkuu.?amna kitu mkuu mimi sijapata bado
mimi labda kwangu haijawa maturedAiseee mbona kuna jamaa kasema mmelipwa jana mkuu.?