REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,450
- 9,372
Nipo kweye usafiri wa umma abiria mwenzangu kapokea simu katika mazungumzo anamwambia mwenzia kuwa Mh. Rais kawakumbuka kaongeza mshahara mwezi huu wa kwanza.
Yaani mshahara umetoka leo tarehe 23/01/2020 ukiwa na ongezeko
Je ni kweli? Kama kweli kawaongeza asilimia ngapi?
Yaani mshahara umetoka leo tarehe 23/01/2020 ukiwa na ongezeko
Je ni kweli? Kama kweli kawaongeza asilimia ngapi?