Watumishi wa umma acheni kujadili siasa maofisini

Nyankuru Wankuru

JF-Expert Member
Apr 22, 2018
1,199
1,346
Ukipita pita kwenye baadhi ya ofisi za umma utakuta watumishi wanajadili siasa tu.

Mara utasikia kuelekea 2020 mchuano utakuwa mkali sana hasa ndani ya chama chetu pendwa cha ccm. watumishi hao wakereketwa wa kisiasa wanachambua mambo vizuri sana ,wanajiita kwa jina la (analysts).

Wanasema kwamba yawezekana ile kamati ya wazee maarufu ya kumtafuta mgombea wa urais 2020 itapata wakati mgumu sana kipindi hicho kwani watajitokeza watia nia wengi sana ambao watachukua form ya kugombea kiti cha urais kupitia ccm ambapo kazi ya kuchuja majina itafanywa na hao wazee wa kazi maalumu.

Wakati mgumu unakuja pale mh Rais ikitokea jina lake kukatwa na kutupiliwa mbali kama ilivyokuwa kwa manywele hali itakuaje? Hili ndilo swali watumishi hao walikuwa wakijiuliza.

Wengine wakawa wanasema yawezekana kitaanzishwa chama kingine cha ruling party. Swali lingine walikuwa wakijiuliza je ibawezekana kuanzisha chama kingine kwenye kipindi hicho?

Pamoja na mjadala huo majority ya watumishi walisikika wakisema wanaomba mheshimiwa magufuli aendelee kuongoza nchi mpaka 2025 kwani hadi sasa hivi ameshashinda kutokana na kazi nzuri alizofanya ndani ya muda mfupi sanaaa.

Ukiangalia ameboresha mishahara ya watumishi kwa kuwapandisha madaraja baadhi yao.

Ajira kede kede zimetolewa ,watumishi hewa waliokuwa wakijaza nafasi za wengine wametimuliwa.

Uchumi wa nchi umeendelea kuimarika na hata mfumuko wa bei uko meintened vizuri tu.

Kwa hiyo wanaomba uchaguzi usifanyike ili gharama za uchaguzi zielekezwe kuwalipa watumishi wa umma madeni yao na kutumika kuwapandisha madaraja waliokuwa wanastahili kupanda kwa kuwa inaonekana hakuna mtu yeyote atakayelinganishwa na magufuli ktk utendaji mzuri wa kazi.

Magufuli baba piga kazi ,piga kazi, watumishi wa umma wako pamoja na wewe.
 


Ukipita pita kwenye baadhi ya ofisi za umma utakuta watumishi wanajadili siasa tu.

Mara utasikia kuelekea 2020 mchuano utakuwa mkali sana hasa ndani ya chama chetu pendwa cha ccm. watumishi hao wakereketwa wa kisiasa wanachambua mambo vizuri sana ,wanajiita kwa jina la (analysts).

Wanasema kwamba yawezekana ile kamati ya wazee maarufu ya kumtafuta mgombea wa urais 2020 itapata wakati mgumu sana kipindi hicho kwani watajitokeza watia nia wengi sana ambao watachukua form ya kugombea kiti cha urais kupitia ccm ambapo kazi ya kuchuja majina itafanywa na hao wazee wa kazi maalumu.

Wakati mgumu unakuja pale mh Rais ikitokea jina lake kukatwa na kutupiliwa mbali kama ilivyokuwa kwa manywele hali itakuaje? Hili ndilo swali watumishi hao walikuwa wakijiuliza.

Wengine wakawa wanasema yawezekana kitaanzishwa chama kingine cha ruling party. Swali lingine walikuwa wakijiuliza je ibawezekana kuanzisha chama kingine kwenye kipindi hicho?

Pamoja na mjadala huo majority ya watumishi walisikika wakisema wanaomba mheshimiwa magufuli aendelee kuongoza nchi mpaka 2025 kwani hadi sasa hivi ameshashinda kutokana na kazi nzuri alizofanya ndani ya muda mfupi sanaaa.

Ukiangalia ameboresha mishahara ya watumishi kwa kuwapandisha madaraja baadhi yao.

Ajira kede kede zimetolewa ,watumishi hewa waliokuwa wakijaza nafasi za wengine wametimuliwa.

Uchumi wa nchi umeendelea kuimarika na hata mfumuko wa bei uko meintened vizuri tu.

Kwa hiyo wanaomba uchaguzi usifanyike ili gharama za uchaguzi zielekezwe kuwalipa watumishi wa umma madeni yao na kutumika kuwapandisha madaraja waliokuwa wanastahili kupanda kwa kuwa inaonekana hakuna mtu yeyote atakayelinganishwa na magufuli ktk utendaji mzuri wa kazi.

Magufuli baba piga kazi ,piga kazi, watumishi wa umma wako pamoja na wewe.
 
Hebu tutolee huu uchafu wako hapa!

Ukipita pita kwenye baadhi ya ofisi za umma utakuta watumishi wanajadili siasa tu.

Mara utasikia kuelekea 2020 mchuano utakuwa mkali sana hasa ndani ya chama chetu pendwa cha ccm. watumishi hao wakereketwa wa kisiasa wanachambua mambo vizuri sana ,wanajiita kwa jina la (analysts).

Wanasema kwamba yawezekana ile kamati ya wazee maarufu ya kumtafuta mgombea wa urais 2020 itapata wakati mgumu sana kipindi hicho kwani watajitokeza watia nia wengi sana ambao watachukua form ya kugombea kiti cha urais kupitia ccm ambapo kazi ya kuchuja majina itafanywa na hao wazee wa kazi maalumu.

Wakati mgumu unakuja pale mh Rais ikitokea jina lake kukatwa na kutupiliwa mbali kama ilivyokuwa kwa manywele hali itakuaje? Hili ndilo swali watumishi hao walikuwa wakijiuliza.

Wengine wakawa wanasema yawezekana kitaanzishwa chama kingine cha ruling party. Swali lingine walikuwa wakijiuliza je ibawezekana kuanzisha chama kingine kwenye kipindi hicho?

Pamoja na mjadala huo majority ya watumishi walisikika wakisema wanaomba mheshimiwa magufuli aendelee kuongoza nchi mpaka 2025 kwani hadi sasa hivi ameshashinda kutokana na kazi nzuri alizofanya ndani ya muda mfupi sanaaa.

Ukiangalia ameboresha mishahara ya watumishi kwa kuwapandisha madaraja baadhi yao.

Ajira kede kede zimetolewa ,watumishi hewa waliokuwa wakijaza nafasi za wengine wametimuliwa.

Uchumi wa nchi umeendelea kuimarika na hata mfumuko wa bei uko meintened vizuri tu.

Kwa hiyo wanaomba uchaguzi usifanyike ili gharama za uchaguzi zielekezwe kuwalipa watumishi wa umma madeni yao na kutumika kuwapandisha madaraja waliokuwa wanastahili kupanda kwa kuwa inaonekana hakuna mtu yeyote atakayelinganishwa na magufuli ktk utendaji mzuri wa kazi.

Magufuli baba piga kazi ,piga kazi, watumishi wa umma wako pamoja na wewe.
 
Mtutue watumishi wa Umma
Kwanza mmeshasema hata waajiri wetu (DEDs) wasisimamie uchaguzi. Sisi tunawaangalia tu tuone mwisho wenu.
Ngoja muone uzoefu sio makalio kwamba kila MTU anayo
 
Wasipojadili ofisini kwa maneno, watajadili vichwani mwao kwa hisia na kazi inaweza kuwa mbaya zaidi.
Siasa ndio inaongeza Mishahara yao.

Prof Matunduizi
 
Ukipita pita kwenye baadhi ya ofisi za umma utakuta watumishi wanajadili siasa tu.

Mara utasikia kuelekea 2020 mchuano utakuwa mkali sana hasa ndani ya chama chetu pendwa cha ccm. watumishi hao wakereketwa wa kisiasa wanachambua mambo vizuri sana ,wanajiita kwa jina la (analysts).

Wanasema kwamba yawezekana ile kamati ya wazee maarufu ya kumtafuta mgombea wa urais 2020 itapata wakati mgumu sana kipindi hicho kwani watajitokeza watia nia wengi sana ambao watachukua form ya kugombea kiti cha urais kupitia ccm ambapo kazi ya kuchuja majina itafanywa na hao wazee wa kazi maalumu.

Wakati mgumu unakuja pale mh Rais ikitokea jina lake kukatwa na kutupiliwa mbali kama ilivyokuwa kwa manywele hali itakuaje? Hili ndilo swali watumishi hao walikuwa wakijiuliza.

Wengine wakawa wanasema yawezekana kitaanzishwa chama kingine cha ruling party. Swali lingine walikuwa wakijiuliza je ibawezekana kuanzisha chama kingine kwenye kipindi hicho?

Pamoja na mjadala huo majority ya watumishi walisikika wakisema wanaomba mheshimiwa magufuli aendelee kuongoza nchi mpaka 2025 kwani hadi sasa hivi ameshashinda kutokana na kazi nzuri alizofanya ndani ya muda mfupi sanaaa.

Ukiangalia ameboresha mishahara ya watumishi kwa kuwapandisha madaraja baadhi yao.

Ajira kede kede zimetolewa ,watumishi hewa waliokuwa wakijaza nafasi za wengine wametimuliwa.

Uchumi wa nchi umeendelea kuimarika na hata mfumuko wa bei uko meintened vizuri tu.

Kwa hiyo wanaomba uchaguzi usifanyike ili gharama za uchaguzi zielekezwe kuwalipa watumishi wa umma madeni yao na kutumika kuwapandisha madaraja waliokuwa wanastahili kupanda kwa kuwa inaonekana hakuna mtu yeyote atakayelinganishwa na magufuli ktk utendaji mzuri wa kazi.

Magufuli baba piga kazi ,piga kazi, watumishi wa umma wako pamoja na wewe.
Acha unafiki, tunakomaa na hali zetu, huyo Magufuli anatuchukia sana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kila kitabu na zama zake ...tunyongeni tu watakaobaki watasimulia...naona umezunguuka kumbe mpambe tu
 
Kwani wao siyo wananchi? Siasa ni maisha na wanatekeleza maagizo ya kisiasa na kusimamia ilani za wanasiasa lazima wazijadili kisiasa kufanikisha malengo ya kisiasa yaliyowekwa na wanasiasa wakati wanaomba kuongoza nchi kupitia vyama vyao vya siasa.

Wakikaa kimya bila kujadili siasa watakuwa hawatekelezi mahiataji ya wanasiasa.....tuache unafki
 
  • Thanks
Reactions: Cyk
Sina cha kuchangia kwenye Uzi kama huu maana sijui kiuhalisia unamaanisha nini!
 
Mmeshapigwa knockout mahakamani bila shaka mtapigwa knockout ktk kura ukizingatia wasimamizi,Mahakama imewakataa,nani atageuza matokeo tena???
 
JPM airudishe TAMISEMI ofisi ya waziri mkuu, wenye mapenzi mema na nchi wameshavuruga mipango yake, hakuna haja tena ya yeye kuteua wakurugenzi wa halimashauri
 
Ukipita pita kwenye baadhi ya ofisi za umma utakuta watumishi wanajadili siasa tu.

Mara utasikia kuelekea 2020 mchuano utakuwa mkali sana hasa ndani ya chama chetu pendwa cha ccm. watumishi hao wakereketwa wa kisiasa wanachambua mambo vizuri sana ,wanajiita kwa jina la (analysts).

Wanasema kwamba yawezekana ile kamati ya wazee maarufu ya kumtafuta mgombea wa urais 2020 itapata wakati mgumu sana kipindi hicho kwani watajitokeza watia nia wengi sana ambao watachukua form ya kugombea kiti cha urais kupitia ccm ambapo kazi ya kuchuja majina itafanywa na hao wazee wa kazi maalumu.

Wakati mgumu unakuja pale mh Rais ikitokea jina lake kukatwa na kutupiliwa mbali kama ilivyokuwa kwa manywele hali itakuaje? Hili ndilo swali watumishi hao walikuwa wakijiuliza.

Wengine wakawa wanasema yawezekana kitaanzishwa chama kingine cha ruling party. Swali lingine walikuwa wakijiuliza je ibawezekana kuanzisha chama kingine kwenye kipindi hicho?

Pamoja na mjadala huo majority ya watumishi walisikika wakisema wanaomba mheshimiwa magufuli aendelee kuongoza nchi mpaka 2025 kwani hadi sasa hivi ameshashinda kutokana na kazi nzuri alizofanya ndani ya muda mfupi sanaaa.

Ukiangalia ameboresha mishahara ya watumishi kwa kuwapandisha madaraja baadhi yao.

Ajira kede kede zimetolewa ,watumishi hewa waliokuwa wakijaza nafasi za wengine wametimuliwa.

Uchumi wa nchi umeendelea kuimarika na hata mfumuko wa bei uko meintened vizuri tu.

Kwa hiyo wanaomba uchaguzi usifanyike ili gharama za uchaguzi zielekezwe kuwalipa watumishi wa umma madeni yao na kutumika kuwapandisha madaraja waliokuwa wanastahili kupanda kwa kuwa inaonekana hakuna mtu yeyote atakayelinganishwa na magufuli ktk utendaji mzuri wa kazi.

Magufuli baba piga kazi ,piga kazi, watumishi wa umma wako pamoja na wewe.
Wewe nani mpaka uwakataze? mbona wanatekeleza ilani ya CCM humo makazini kwani sio siasa?
 
Back
Top Bottom