Watumishi wa Mungu wamekuwaje?

Watumishi wa Mungu wamekuwaje?

Mnasema 'siku hizi'
sababu zamani mlikuwa watoto hamkuweza yajua haya
haya mambo yapo kiaka yote
tofauti ni kuwa miaka ya siku hizi hakuna siri sababu ya mitandao ..

na zamani hukuyaona sababu ulikuwa mdogo.....

hakuna jipya kabisa
 
Mnasema 'siku hizi'
sababu zamani mlikuwa watoto hamkuweza yajua haya
haya mambo yapo kiaka yote
tofauti ni kuwa miaka ya siku hizi hakuna siri sababu ya mitandao ..

na zamani hukuyaona sababu ulikuwa mdogo.....

hakuna jipya kabisa
Aiseeee
 
Watumishi wazinzi waondolewe kwani wanalinajisi kanisa. Hao ndio wanaosababisha baadhi ya waumini na wao kuhalalisha uzinzi wao "kipofu akimuongoza kipofu wote hutumbukia shimoni"
Mkuu km Kakobe, mwingira, Mzee wa yesu, Mzee wa upako mama rwakatare, gwajima nani wakuwaondoa ili hali hayo makanisa ni Mali yao
 
Kila mtuu ataubeba mzigo wake mwenyewe.
 
Eeebo kwani kikojoleo kinajua upadr nk? Alafu nani siku hizi anapata mimba anahahaaa aliyeko mujini au wa chiiijjn?
 
Ukiachilia mbali watumishi wa kiume... hata masister nao ni wepesi sana... unagonga unavyotaka..
 
ule mtaa unaitwa mtaa wa mtakuja wacha waje utamu utamuni raha jipe mwenyewe
 
waruhusiwe kuoa na waambiwe madhara ya kuzini
Hata kama wakiruhusiwa kuoa haisaidii, wachungaji si wameoa? Madhara ya kuzini wanayajua na wanayahubiri kila siku? Mungu tu ndiye atakayefanya muujiza, vinginevyo hawatapona.
 
Back
Top Bottom