Watumishi wa Mungu wamekuwaje?

Watumishi wa Mungu wamekuwaje?

Nakusalimuni nyote kwa jina la Mungu muumba mbingu na ardhi, poleni na majukumu,

Wapendwa nimeshakutana na hii kitu mara kadhaa kwa watu tofauti tofauti, kwamba wanna mahusiano na wachungaji au mapadri tena kwa kujifia kabisa bila kuwa na hofu ya Mungu, sijui wamekuwaje na wamepatwa na nini.

Hii kitu inashingaza sana kuona watumishi wa Mungu siku hizi wamecharuka kweli kweli kuzini yaani Msharika na mchungaji kuanzisha mahusiano imekuwa kitu cha kawaida kabisa, tena bila hata haya wanatumia neno la Mungu kufanya ujinga wao.

Kuna mpendwa mmoja jana alinitaka niende kwake bahati mbaya nikawa sipo mjini, kikubwa alichonambia ni kuwa alihitaji niende kwake nikamuone na kumthaminisha huyo mchungaji ili nimshauri kama anafaa au hafai, nikamwambia nimetoka kidogo akasema nikirudi mjini nimjuze ili nimwone huyo mtumishi wa Mungu nipate kumshauri awe nae ama la.

Nashangaa tu yaani sijui niwapi tunaenda, kuna Padri mmoja yeye yupo Kiwalani nae katembea na mke wa mtu jirani yangu hadi kumpachika mimba, na sasa mke ya mtu huyo anahangaika jinsi ya kutoa hiyo mimba, halafu Jumapili unasimama madhabahuni una hubiri dhambi kweli?
NTARUDI KU COMMENT VIZURI
 
Nakusalimuni nyote kwa jina la Mungu muumba mbingu na ardhi, poleni na majukumu,

Wapendwa nimeshakutana na hii kitu mara kadhaa kwa watu tofauti tofauti, kwamba wanna mahusiano na wachungaji au mapadri tena kwa kujifia kabisa bila kuwa na hofu ya Mungu, sijui wamekuwaje na wamepatwa na nini.

Hii kitu inashingaza sana kuona watumishi wa Mungu siku hizi wamecharuka kweli kweli kuzini yaani Msharika na mchungaji kuanzisha mahusiano imekuwa kitu cha kawaida kabisa, tena bila hata haya wanatumia neno la Mungu kufanya ujinga wao.

Kuna mpendwa mmoja jana alinitaka niende kwake bahati mbaya nikawa sipo mjini, kikubwa alichonambia ni kuwa alihitaji niende kwake nikamuone na kumthaminisha huyo mchungaji ili nimshauri kama anafaa au hafai, nikamwambia nimetoka kidogo akasema nikirudi mjini nimjuze ili nimwone huyo mtumishi wa Mungu nipate kumshauri awe nae ama la.

Nashangaa tu yaani sijui niwapi tunaenda, kuna Padri mmoja yeye yupo Kiwalani nae katembea na mke wa mtu jirani yangu hadi kumpachika mimba, na sasa mke ya mtu huyo anahangaika jinsi ya kutoa hiyo mimba, halafu Jumapili unasimama madhabahuni una hubiri dhambi kweli?
"Kwani mchungaji ahitaji kuwa na uhusiano? nae pia ni cheo tu kama ualimu"
 
Nakusalimuni nyote kwa jina la Mungu muumba mbingu na ardhi, poleni na majukumu,

Wapendwa nimeshakutana na hii kitu mara kadhaa kwa watu tofauti tofauti, kwamba wanna mahusiano na wachungaji au mapadri tena kwa kujifia kabisa bila kuwa na hofu ya Mungu, sijui wamekuwaje na wamepatwa na nini.

Hii kitu inashingaza sana kuona watumishi wa Mungu siku hizi wamecharuka kweli kweli kuzini yaani Msharika na mchungaji kuanzisha mahusiano imekuwa kitu cha kawaida kabisa, tena bila hata haya wanatumia neno la Mungu kufanya ujinga wao.

Kuna mpendwa mmoja jana alinitaka niende kwake bahati mbaya nikawa sipo mjini, kikubwa alichonambia ni kuwa alihitaji niende kwake nikamuone na kumthaminisha huyo mchungaji ili nimshauri kama anafaa au hafai, nikamwambia nimetoka kidogo akasema nikirudi mjini nimjuze ili nimwone huyo mtumishi wa Mungu nipate kumshauri awe nae ama la.

Nashangaa tu yaani sijui niwapi tunaenda, kuna Padri mmoja yeye yupo Kiwalani nae katembea na mke wa mtu jirani yangu hadi kumpachika mimba, na sasa mke ya mtu huyo anahangaika jinsi ya kutoa hiyo mimba, halafu Jumapili unasimama madhabahuni una hubiri dhambi kweli?
chunga moyo wako mchungaji hakupeleki mbinguni by the way! kila mtu anachagua njia yake so! hayo yote hayana budi kutokea maana ilikwisha nenwa na Yesu Kristo Mwenyewe sio kila asemaye bwana bwana ataurithi ufalme wa mbinguni!
 
pengine wanakielewa sana kitabu cha DAUDI mtumishi wa MUNGU au ni anguko la kibinadamu tu,usiogope
 
Hakuna mkamilifu jamani waacheninao binadamu!
hapana hao ni watumishi wanakemea dhambi Sasa watakua na ujasiri upi wakukemea wanawavuvia roho chafu washirika na kanisa linakua halina nguvu ya roho wa bwana ataondoka paul aliwezaje atakae kumfuataYesu na ajikane hao s watumishi usiwatete Dada maana hukumu hii juu yao kwa kuaribu kondoo
 
hapana hao ni watumishi wanakemea dhambi Sasa watakua na ujasiri upi wakukemea wanawavuvia roho chafu washirika na kanisa linakua halina nguvu ya roho wa bwana ataondoka paul aliwezaje atakae kumfuataYesu na ajikane hao s watumishi usiwatete Dada maana hukumu hii juu yao kwa kuaribu kondoo


Fuata neno unaloamini wale ni watu kama wewe wanaweza wasifuate pia
 
Fuata neno unaloamini wale ni watu kama wewe wanaweza wasifuate pia
ninalo amini hao ni wapakwa mafuta biblia inasema sisi n nuru ya ulimwengu jee taa waweza iweka chini ya pishi...sisi n chumvi ya ulimwengu chumvi ikiharibika utatia nini ikoleee.sehemu nyingne anasema itoeni miili yenu hiwe silaha ya haki kwa mungu wanapo zini wanaitumia kuwa silaha mbaya wala mungu hawapo nao..ikimbie zinaa s swala la ubinadamu
 
"Kwani mchungaji ahitaji kuwa na uhusiano? nae pia ni cheo tu kama ualimu"
Tatizo Nyumba ndogo hadi kuzalisha ili hali anafamilia, huo ni uzinzi ambao yeye mwenyewe ndo wa kwnza kuhubiri kuhusu zinaaa halafu mlango wa nyuma anaongoza kwa kufanya zinaa
 
Mtumishi wa Mungu ni MTU pia kama tu ilivyo kwako kwahyo ukiona hivyo usishadadie bali muombee nawe Mungu atakukumbuka

Maana imeandikwa usimnenee mabaya Mtumishi wa Mungu usije ukapata laana
 
Watumishi wazinzi waondolewe kwani wanalinajisi kanisa. Hao ndio wanaosababisha baadhi ya waumini na wao kuhalalisha uzinzi wao "kipofu akimuongoza kipofu wote hutumbukia shimoni"
 
Back
Top Bottom